Mapenzi kwa njia ya mdomo, ni chanzo kikuu cha saratani ya koo

Wiki kadhaa zilizopita niliona video clip ya naibu waziri wa afya akizungumza kuhusu typhoid, nilichoka. Huyu nae kaja tena. Mtuache jamani, kila mtu na starehe yake.
 
Halafu utakuta jitu linapelekwa Ocean Road ama CCBRT linaanza kulalamika tunanyanyaswa, yani kupiga deki upige ww ila ukiumwa usumbue wengine? Ndio maana nchi zilizoendelea wagonjwa wenye magonjwa ya kufa huwa wanaambiwa live na wanapelekwa either kutunzwa nyumbani ama kwenye rehabilitation centers hukoo ila sio hospitali.
 
hahahah muhuni umeifanya siku yangu kuanza vyema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuwaachi..lazima tuwaambie mjue
Wiki kadhaa zilizopita niliona video clip ya naibu waziri wa afya akizungumza kuhusu typhoid, nilichoka. Huyu nae kaja tena. Mtuache jamani, kila mtu na starehe yake.
 
Kwahìyo tiba na kinga ya hiyo HPV 16 ipo?
 
Yaan vimistari vyako hivyo ndo unakuja kupiga biti watu kuzama chumvini wakati watu miaka dahari b4 utafiti wenu uchwara wa hapo juzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwani madaktari wamesomea ili wapaki au ilibwatibu wagonjwa?
 
Waafrika wengi hatujui kuishi positive life. Mzungu akishakuwa na mpenzi wanaenda kupima magonjwa hatarishi yooote kabla hawajaanza kufanya hii michezo ya kudekiana, lkn sisi watu weusi tunaiga kichwakichwa bila tahadhari yyte na ndo mana unakuta sisi tunaathirika zaidi.
hahahah muhuni umeifanya siku yangu kuanza vyema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…