Mapenzi mubashara ni nini?

Mapenzi mubashara ni nini?

Beberu-mpya

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2017
Posts
216
Reaction score
106
Hapa naomba wanajamvini nasikia jirani yangu anagombana na mke wake hapa chumbani kwao eti mwanamke anasema apelekwe kwa mtoko na baba wa nyumba anasema eti usawa huu hawezi eti mipango haijakaa sawa. Kwa hiyo VALENTINE ni lazima MTOKO?
 
Hapa naomba wanajamvini nasikia jirani yangu anagombana na mke wake hapa chumbani kwao eti mwanamke anasema apelekwe kwa mtoko na baba wa nyumba anasema eti usawa huu hawezi eti mipango haijakaa sawa. Kwa hiyo VALENTINE ni lazima MTOKO?
Mkuu.....
Ebu maliza kwanza kuongea na simu, kisha uje uandike tukuelewe
 
Hapa naomba wanajamvini nasikia jirani yangu anagombana na mke wake hapa chumbani kwao eti mwanamke anasema apelekwe kwa mtoko na baba wa nyumba anasema eti usawa huu hawezi eti mipango haijakaa sawa. Kwa hiyo VALENTINE ni lazima MTOKO?

Habari za nyalugusu bro
 
Hapa naomba wanajamvini nasikia jirani yangu anagombana na mke wake hapa chumbani kwao eti mwanamke anasema apelekwe kwa mtoko na baba wa nyumba anasema eti usawa huu hawezi eti mipango haijakaa sawa. Kwa hiyo VALENTINE ni lazima MTOKO?
hujaeleweka yani ni sawa kichwa cha ng'ombe mwili wa mbwa
 
Mubashara ni neno lakiarabu maana yake Live,na hayo mengine ya Valentine sie hayatukhusu yao wenyewe...kama wewe ndio umeachwa hapo ni habari nyengine..
 
Ngoja nivute kiti nipate kwanza juisi ya ukwaju. Huenda baada ya hapo nikaelewa!!
 
Ngoja kwanza nimuite demu nilale nae Asubuhi nikiamka naweza nikawa nimepata Jibu [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Back
Top Bottom