FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Kaka zangu mlio humu ndani kumsomesha mke ni jambo zuri sana, ila mimi kwa maisha ya sasa hivi siwezi hata kumshauri kaka yangu kufanya hivyo. Kwa sababu kuna kaka yangu alimsomesha mke wake akaacha kumsomesha mdogo wake, baada ya wifi kumaliza chuo, tulishangaa kaka akiacha kila kitu, gari na kila kitu na kuondoka personal things tu na ndoa ikaishia hapo. Ukimsomesha msomeshe kwa faida ya wanao kwa sababu ht mkiachana watoto wataendelea kupata msaada kwa mama yao.
No coment .