Wengi wanashindwa kumfundisha mumewe/mkewe jinsi anavyotaka aridhishwe kwa kudhani kuwa atamuona mhuni, anahisi atamuuliza yeye kavijulia wapi hivyo?
Lakini pia wengine wanakataa hata ukimfundisha
Ila kama walivyosema wachangiaji wengine, kutokuridhishwa ni sehemu tu ya sababu, zaidi ni tabia ya mtu, kuwa mbali na mwenzi wako, tamaa ya mali hasa pesa au kupata upendeleo ktk jambo fulani (mfano kazi, cheo, madaraka n.k), kuendekeza tamaa za mwili (kuna mtu anadhani bila ngono hawezi kuishi), kutokuwa na roho ya Mungu (yaani kutokubali kuwa cheating ni dhambi), peer group ..........changanya na zako sasa!