Nakuelewa vizuri sana mkuuBinafsi sijawahi ku experience maumivu makali yanayozidi yale ya kuliwa mkeka,
Kuna nyakati hadi nilipata kipanda uso wiki 6
Kubet kunauma jamani asikuhadithie mtu kama hujaingia huku usije kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binafsi sijawahi ku experience maumivu makali yanayozidi yale ya kuliwa mkeka,
Kuna nyakati hadi nilipata kipanda uso wiki 6
Kubet kunauma jamani asikuhadithie mtu kama hujaingia huku usije kabisa
Kabisaaa yaan, maumivu ya mpira ni balaaUsifananishe mpira na mambo ya kijinga
Mapenzi yanauma zaidi lo!
Yaani kiufupi kwenye mpira kinachouma sio kufungwa bali matokeo ya kufungwa. (Kelele za wapinzani)Mpira ni noma maana timu yako ikifungwa kila mwana anajua full kuzodolewa ila manzi inaenda kmy kmy
Ni kwel demu unaweza kuchili nalo kmy kmy na wana wasijue km kuna jamYaani kiufupi kwenye mpira kinachouma sio kufungwa bali matokeo ya kufungwa. (Kelele za wapinzani)