Vpn01
JF-Expert Member
- Apr 8, 2024
- 245
- 801
Nimekuwa katika mapenzi kwa miaka mingi ila ikafika hatua nikaamua kuachana nayo baada ya kujikuta naumia zaidi ya kufurahia.
Nikajikita kwenye utafutaji wa pesa tu lakini kutokana na hali ya upweke nikaona nijifunze kufuatilia mpira na taratibu ukaniingia akilini ila sasa nahisi kama nimejiingiza kwenye maumivu mapya maana kila timu yangu inapofungwa ama kutoa sare napata maumivu makali nadhani zaidi ya yale ya mapenzi
Je, kati ya mapenzi na mpira kipi kinaumiza zaidi ndugu zangu
Nikajikita kwenye utafutaji wa pesa tu lakini kutokana na hali ya upweke nikaona nijifunze kufuatilia mpira na taratibu ukaniingia akilini ila sasa nahisi kama nimejiingiza kwenye maumivu mapya maana kila timu yangu inapofungwa ama kutoa sare napata maumivu makali nadhani zaidi ya yale ya mapenzi
Je, kati ya mapenzi na mpira kipi kinaumiza zaidi ndugu zangu