Mapenzi na uungwana..................wanaume tuonyeshe mfano.

Mapenzi na uungwana..................wanaume tuonyeshe mfano.

My secret weapon has always been silence. Silence is golden and divine. Lkn jamani kuna wale wanaitwa drama queens and kings na kugombana hadharani ni kawaida, na wala hawana cha aibu. Ustarabu comes from within not without, and you cannot teach somebody.

that's good weapon Theodora
 
wanawake wengine vipigo hutafuta wenyewe...

sasa mada umeleta ya nini hapa wakati wewe mweneywe unasapoti kipigo? kwahiyo kama wanatafuta wenyewe, wanastahili?, sisi sote tulishawahi kuwapiga sana wanawake zetu enzi hizo tukiwa misri, Mungu tu alitusaidia hakika kama tungekuwa maeneo ya Ulaya, wangeshatupatia talaka, ni kwasababu tu wanawake wa africa ni wavumilivu, na wanajua kuwa talaka ni aibu...mwanamke yeyote anayetaka talaka ni aibuuuu, mbona ukimvumilia mmeo kuna siku mtakuja kuelewana na ukaijutia ile thought ya talaka ilyowahikukujia? huu ndo utofauti mkubwa wa wanawake wa africa na wazungu. kwasaba tunajisikia vibaya kwa yale tuliyokuwa tunayatenda misri, na hatutasapoti kabisa. kumpiga mpenzi wako ni kitendo kibaya sana, na ni moja ya jambo linaloondoa upendo wako ndani ya moyo wa mkeo. enyi vijana mnaooa sasa, njooni mchukue ushauri kwetu sisi wazee wenu.
 
Back
Top Bottom