Sax
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 3,578
- 6,740
Kwan imeshazinduliwa?Mi mwanaume bro,au unapitaga ivoivo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan imeshazinduliwa?Mi mwanaume bro,au unapitaga ivoivo mkuu
[emoji15][emoji15]Moto fire,we huoni lilivyonoga....Yaan sisi tupeane tamu tu mkuu Ili likipoa Kila mtu atambae kivyake[emoji6]
Haisomi tena chombo ilijipiga kwenye bamsUnaonekana ODO meter haijafika mbali😋
Nzuri sana kama uzuri wakoNi kama nachati kiupendo na Kila mtu and I don't care[emoji55]
Tena kiroho safi pasina lugha za maudhi ili atakayemmiss mwenzake tupashe viporo.Moto fire,we huoni lilivyonoga....Yaan sisi tupeane tamu tu mkuu Ili likipoa Kila mtu atambae kivyake[emoji6]
Kama ilivyo msimu wa mvua, msimu wa baridi, kiangaz nk: Kupanda mahindi msimu wa kiangaz ni kujitakia[emoji26]
Mapenzi nayo vivyo hivyo, msimu wa mapenz motomoto (ndo linaanza sasa), msimu wa mapenz vuguvugu (yaliyopoa), msimu wa mapenz ya kuvumilia a(hapa watu hujilazimisha kuendelea kuwa wapenzi)
Mkipita vipindi vyote Ivo ndo ufanye maamuz kama ni kuoana au kubebeana mimba au kujengeana nyumba maana mnakuwa na uhakika kwamba kweli mmeshibana. Siyo penz limewaka tu tayari umebeba mimba, umemnunulia gari yakipoa tayari lawama kibao.
Hakuna kisicho na mwisho bana. Uhai wenyewe una mwisho wake sembuse ......[emoji38][emoji119]
Mm ata sio mtakatifu, Jan tu uzi huu umenifanya nizame Riverside nmecomment tu nipate notification niendlee kupata mzukaKilichokuleta Sasa huku mtakatifu Petro😜
Identity ya uboya....acha bangi.Kho Kho Kho