Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yao yaoKho Kho Kho
😂Afu kibezi Fulani ivi😉
Sio mwanzo tu mm ntakupenda kila siku cha umuhimu uwe na heshima tuKaribu[emoji3590],but ndivyo ilivyo mwanzo kilamtu anakuwa kipofu
Mambo mazuri yanakuja, wenye wivu wajinyongeSawa,nitajitahidi Kwa kweli
Penzi jipya bana dah!! Umenikumbusha na kunitamanisha vile vile nitamani kumpata mpya😢😢Umenikumbusha mbali, penzi langu jipya miaka ya 2011.... nlikua napelekewa moto utadhani nimejiajiri nikiinuka ni miguu inatetemeka hata kutembea siwezi 🙂
Ndoa hizi kuna mahali unafika unatafakari, kweli kuna milima na mabonde, asa aya ni mabonde au makorongo?😒🙌kweli simama nishuke
Renew tu hilo hilo la zamani 😂😂😂Penzi jipya bana dah!! Umenikumbusha na kunitamanisha vile vile nitamani kumpata mpya😢😢