Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

Tumekuwa tukiona mahusiano ya aina tofauti tofauti ila common yakiwa yale ambayo mwanaume wana economic muscles ila kutokana na mabadiliko ya tabia nchi sikuhizi pia kumejitokeza mahusiano mengi ambayo wanawake wana financial muscles hali iliopelekea mahusiano ambayo mke anakuwa anaziba gap kubwa kiuchumi hali ambayo imekuwa inachukuliwa in a very negative way.

Mwanamke anayespend hela kwa mume au mpenzi wake kwa roho safi its obvious anampenda kwa dhati...japo anaweza kuwa na madhaifu mengine ila kwenye huba yuko legit by 100%. She really loves and wants her man to feel great about it. Kila mtu anajua pesa ni kama spice katika mapenzi hunogesha na kuleta furaha zaidi thats why mtu haoni tabu kutumia pesa zake na mtu ampendae.

Tabu iko kwetu sie ambao tunafosi mapenzi kwa malaya wanaoishia kutuchapa invoice kwa foleni. Wengi tunaishiaga kuponda tu kama kawaida yetu na kuwaita watu Marioo ila ukweli ni kwamba wapo wanaotamani hio bahati ya kupata penzi la dhati ila huwatokea ME wachache. The same goes to wadangaji wanaoponda na kushangaa wanawake wenzao wanawapaje hela wanaume zao bila kujua kuwa roho za kimaskini na kukosa access na hela ndio mtihani walio nao.😂😂😂

Kitu najiulizaga kama mapenzi ni ya wawili and involves 2 way traffic iweje mwanaume kumpa hela mwanamke iwe halali ila mke kumpa mume hela iwe kosa? Justify!
Title yako iko controversial sana, nilidhani unaongelea mambo ya waitaliano..
🤣🤣🤣
 
Epuka Sana mwanamke mwenye roho ya kimaskin Ni Bora ununue Malaya ule mzgo afu tembea kuliko ku date na nguruwe ya namna hyo

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Kaka hiyo Tecno ina mwandiko mkali sana. Nahisi button zake zilitengenezwa na maganda ya ndimu na pilipili.
Kuna haja ya kuhamia Redmi Mkuu [emoji12][emoji28]
 
Nimetoka kumpiga baby mama kizinga cha 500k kama utani Mzigo huu hapa,kuna ngedere 1 ilikua pembeni yangu nili iambia kama inanipenda kweli ininunulie Mdudu 1KG akaniambia yuko tayari anipe K ila sio atoe hela yake anipe mimi (mwanaume).

nikamwambia kaa tulia hapo hapo nikuonyeshe kitu kimoja,nikavuta simu nikampiga kizinga maza mjengo Maswali hayakua mengi nikaona "imethibitishwa",nikamuonyesha huyu ngedere ya pembeni angu,akaanza leta zake oooh,hiyo ilikua hela yako,ooh huyo sio mkeo n mfanyakazi wako,maneno kibao.

mwisho nikamwambia "nikwambie kitu" wewe ni maskini Jitahidi ufanye kazi kwa bidii sana sana Muombe Mungu akupe pumzi maana bado una deni kubwa sana hapa duniani,kama kawaida ake akaanza tena mbwembwe oooooh hata niwe bilionea bado msimamo wangu ni ule ule,nikamwambia hebu nenda huko jikoni kawambie watutengenezee mdudu watuletee hapa.
 
Wa sampuli hii ndio huwa wanakuja kukutana na wanaume vilaza huko mbeleni.

Sasa wewe unakuta kabinti hakajafika hata 20 Kameanza kusema wanaume ni mbwa, hivi wanaume amewajulia wapi, anatembea na wavulana badala ya kusoma anasema wanaume mbwa.
Yupo likizo huyo
 
Nikimpenda somebody's son niwe na hela kidogo au nyingi lazima nimgawie yani ni lazima and sijawahi kuona kama ni kosa.

N.B: simsimangi na simpi ili arudishe zaidi.
Niko Chanika huku ila nikitoka nataka nije nikupe kinywaji upendacho mrembo, naomba location. Uko vizuri sana!😍
 
Hivi ushajiuliza nini kinakupa furaha kwenye mahusiano? Most likely ni kuwa na mtu mwenye kukuonesha upendo,hekima na busara but not only that you need an empathetic partner!

Ila kwa uzoefu tu hakuna mtu mwenye mahitaji endless kama mwanamke. Unaweza kuwa hivyo still ukawa not enough to her akakuita boring bf just because haumfanyii vituko au haumsumbui akili yake.

Kwa kusema wanaume tuna mahitaji mengi sioni kama tunawafikia nyie honey! Mahitaji yetu ni Universal tu na ukiuliza mwanaume yeyote hawezi kuacha kukwambia hatuitaji kiburi na ujuaji! Uliza wanaume 10 tu uone kama hilo hawatalitaja.
Woii kwa wanaume wa kiafrika definition ya kiburi na ujuaji ni pana sana! Yaani mwanamke akimkosoa tu tayari kashaitwa kiburi na mjuaji hata kama kweli mwanaume kakosea!
 
Nitafute hela mara ngapi mrembo?
Nitafute hela mara ngapi mrembo maana basically nina kila kitu ambacho kijana wa kileo anapaswa kuwa nacho. Everything that you wish your man could have!

Ishu ni itikadi tu sababu huwezi lazimisha niishi katika itikadi ambazo zinaku favor wewe eti sababu wanaume wengine wapo hivyo siishi ili kuimpress watu, atleast that makes me a bit different.

Pia, siabudu hio dini ya lazima kumpa mwanamke kila kitu just to feed my ego but niko katika imani ya mwanamke kujitegemea ili kuleta balance katika maisha yetu. Thats why utaona niko Contrary na wanawake wengi wenye kimelea cha uvivu wa fikra.

Wanawake ambao wanadhani kuwa mahusiano ni bed of roses ama sehemu ya kupumzikiana. Mie sina huo ujinga.
Sasa kama hauishi hivyo mbona bado una imani ya kuwa kazi za ndani ni za mwanamke tu wakati hayo ni kwa mujibu wa biblia? Kwahiyo na wewe tukuite mvivu tu si ndiyo?
 
Sasa wewe si ndie unayumba mama. Ishu ilioko mezani huijibu unazalisha maswali yasio na mpango. Kuna mwenzio aliomba aeleweshwe straight akawa na jibu. We unaranda randa!

Can you stand for your man financially without feeling bad about it?
Kwangu mimi it depends kwa kweli! Mnatakiwa mjue kuwa siyo kila mwanaume anastahili hizo huduma kama anbavyo ninyi mnaona kuwa siyo kila mwanamke anastahili hizo huduma!
 
Mwanamme lazma atoe kwa mke but also mke lazma atoe kwa mume at times! Hii vita huwa kubwa sana kwa wanawake wanaojihesabia haki kama vilema katika mahusiano.

Hizo zama zilishapita, kidume unafanya kazi unaingiza hela mke anakupiga spoku miaka nenda rudi, siku kazi ikiisha all you got for us ni masimango tu kama vile hatukufanya kitu katika maisha yenu.

Mie niko against hili, na ndio msingi wa ku stick katika itikadi yangu. Mwanamke awe na self-reliance but pia with giving spirit. Sio mwanamke mchoyo na mbinafsi tu haya ndio huwa manyanyasaji.
Ndiyo maana nikakuambia inategemea na tabia za mwanaume! Wanawake siyo kuwa hatupendi kutoa ila wanaume wengi siku hizi mmejisahau sana!
 
hahaha Kuna msemo eti mwanaume akikupenda atatoa kila kitu utakachoomba bila kujali . Je wewe ukimpenda mwanamke uko radhi kutoa kila kitu kwake ?
Ni ukweli mkuu! Mnaobwabwaja humu hamjapenda!
 
hahaha Kuna msemo eti mwanaume akikupenda atatoa kila kitu utakachoomba bila kujali . Je wewe ukimpenda mwanamke uko radhi kutoa kila kitu kwake ?
Ni ukweli mkuu! Mnaobwabwaja humu hamjapenda!
 
Itategemea na akili ya huyo mwanamke na itikadi zake. Kama ni mchoyo na mbinafsi ataambulia kiepe yai tu[emoji23][emoji23][emoji23]!

Ila kama yupo generous na roho ya kitajiri huyo naweza kwenda beyond kumpa hata mipango yangu.
Kwanini itegemee na mwanamke? Kwanini usianze wewe kumpa mipango yako then ndiyo uone kama na yeye ni generous au mbinafsi tu?
 
Back
Top Bottom