Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

Exactly, sasa imagine umepata janga upo central. Unampigia demu wako aje hata na laki 1 akutoe matatizoni anakwambia sina ilihali unajua anayo hio pesa. Lack of empathy! Ila pia ubinafsi tu inakubidi uanze kusumbua watu baki. Maana unakuta yeye majanga yake unamtatuliaga on the spot.

Aisee mwanamke wa hivyo simtaki hata kumsikia.
Sasa wewe unaongelea matatizo kwenye tatizo kama hilo ni sawa mwanamke anatakiwa akusaidie! Ila tangu mwanzo ulikuwa unasema mwanamke awe anatoa pesa sawa na wewe ambavyo unatoa hapo unakuwa umezingua!
 
Awa watu sijui wana uchizi...Hivi inawezekana mwanaume akaacha kutafuta pesa kweli? Au hizi simu tunazotypia humu zimeshuka toka mbinguni?[emoji23][emoji23][emoji23]!!! Watu wana familia zao na wanasomesha watoto kabisa halafu mtu anakuja na hoja eti tafteni pesa.
Tatizo mnalalamika sana humu hivyo mnaleta mixed signals! Tumezoea wenye pesa huwa hawalalamikii vitu vidogo kama hivi!
 
Ww naona hujaelewa mada ipoje,na kama umeelewa basi ni mmoja ya wanawake waliotajwa kwenye hiyo mada maana kinachozungumzwa ni tofauti kabisa na unachokiongelea ww.
Wewe umeelewa nini? Tuanze hapo kwanza?
 
Karma ana roho ya choyo ndio maana hataki kabisa kusikia story za wanawake kuwapa hela wanaume zao [emoji23]... Kingine hapendi kupika, kufua na kumhudumia mwanamume. Anataka mme ajifanyie mwenyewe haya.

Yeye always anasimama na biblia katika hili ila cha ajabu anataka apewe yeye hela tu ila wanawake wenzie wasipewe. Na sie tukisimama na kifungu cha mwanaume kupenda tuna extend hadi kwa wanawake wengine wa nje yeye hili hataki. Hii tunaita improper fraction[emoji23][emoji23][emoji23]
Siyo kwamba sipendi kufanya kazi za ndani ila si mambo kusaidiana bwana au vipi? Kingine hebu nipe andiko linaloruhusu mwanaume kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja naomba usinipe story za kina Mfalme Suleiman tafadhali kwa sababu ukinipa hizo na mimi nitakupa za Mtume Paulo!
 
Hio uomba omba haipendezi na wala haikubaliki. Ila kuna ile una hustle unaona kabisa leo bila bila.

Tajiri hajatoa hela kwa wakati uko pending unahitaji material kukamilisha kazi nyingine. Unavuta waya! Mama hembu naomba nsaidie laki 7 nikamilishe kazi nina kipengele kidogo ntakurudishia nikishakabidhi kazi. Dakika 10 tri..trii sms ya MPesa imeingia.

Sasa kwa demu mwenye roho ya kimaskini atakuwa anaona kama miujiza maana akiombwa hata elfu 50 anahisi akaunti yake inawaka moto. Ila hapo kama mke unakuta na kazi ulimfaitia wewe akapata.
Kama ni kwenye matatizo hapo mbona tutaelewana vizuri utasaidiwa vizuri ninachopinga mimi ni kutaka mwanamke naye atoea SAWA SAWA na unavyotoa wewe duuh! Halafu kumbuka kuna wanaume huwa wanafilisika sababu ya kuhonga kwa michepuko ila hao nao watatumia kichaka cha tajiri amechelewa kuingiza mshahara ili mke ampige tafu hii nayo imekaaje?
 
Mwijaku si choko tu nae [emoji23][emoji23][emoji23] anamtukuza sana mwanamke. Hapo wanawake wanajifeel thyself kinoma [emoji28][emoji28][emoji28]!!!
To a black man like me...a woman is a damn woman!!!
Si unaona sasa! Basi acheni black women tuwahandle kiblack black tu hakuna namna tutawapeleka sawa na mawazo yenu hadi hapo mtakapoamua kubadilika!

Kumbe kumheshimu mwanamke ni uchoko! Aiseee nahisi nina mengi ya kujifunza bado!
 
Hizi ni nadharia mnazitengeneza na ni upotoshaji. Maisha hayapo strict hivyo.

Katika maisha ya mahusiano na ndoa mwanaume na mwanamke ni marafiki wanaotunziana siri, wanao heshimiana, wanaojaliana, wanao oneana huruma, wanaopendana, hizo story za vijiwe vya kitchen party huwa haziapply hata kidogo.

Sasa hivi kweli mtu ambaye anakupatia mahitaji yako ushindwe mpatia chako....?!
Je ni ndoa ngapi wanandoa wanafanyiana hayo uliyoyaainisha hapo? Hasa wanaume ni wangapi wanafanya hayo kwa wake zao?
 
Hizi ni nadharia mnazitengeneza na ni upotoshaji. Maisha hayapo strict hivyo.

Katika maisha ya mahusiano na ndoa mwanaume na mwanamke ni marafiki wanaotunziana siri, wanao heshimiana, wanaojaliana, wanao oneana huruma, wanaopendana, hizo story za vijiwe vya kitchen party huwa haziapply hata kidogo.

Sasa hivi kweli mtu ambaye anakupatia mahitaji yako ushindwe mpatia chako....?!
Je ni ndoa ngapi wanandoa wanafanyiana hayo uliyoyaainisha hapo? Hasa wanaume ni wangapi wanafanya hayo kwa wake zao?
 
Me huwa nashangaa tuwatu tunatoongea mambo kinyume na uhalisia. Vijana wengi wanaoa miaka hii unakuta mwanamke ndie anatoa sapoti na sio shida sababu unakuta kwa wakati huo mwanamke ndie anakuwa yupo vizuri mwanaume anachechemea...... So akikaa stable anachukua majukumu yake in full kama kawaida.

Mtu anaeshangazwa na swala la mwanamke kuwa msaada kwa mwanaume wake technically anamaanisha kuwa mwanamke asiruhusiwe kuwa na kazi, asiwe na kipato, awe tu goal kipper akisubiri kuletewa na mume wake....
Tatizo wanaume wa kufanyiwa hayo yote siku hizi hawapo! Mkae mkijua hilo!
 
Unajiharibu ujue.....?!

No body will fix you.... Fix yourself before its too late......


We unasusa mapenzi..... Mapenzi ni chakula cha moyo na akili, ukisusa utaumia wewe mpenzi....... Imagine unasusa wenzako unaona wanaolewa wanakwenda kuanza maisha ya ndoa wewe unabakia kulalamika na kuongea kauli za hasira..... Pole sana.
Teh teh i have nothing to lose my friend! Tena kwangu mimi kutokuwa kwenye mahusiano au ndoa naona kama ndiyo nimejipunguzia mzigo mkubwa ambao nisingeweza kuubeba for the rest of my life!

Nimezungukwa na watu wengi sana wenye mahusiano mazuri na mabaya na najifunza kupitia mahusiano ya aina zote! Lakini kutoka moyoni mwangu kabisa niliyoyashuhudia kwenye mahusiano mabaya yamenifanya niamue kuwa sitaki kujiingiza kwenye mapenzi hadi nakufa fullstop!
 
Punguza jazba hii mada ni laini inatakiwa kujadiliwa kwa utulivu....
From the beginning i've been calmly discussing this topic! Mkishindwa kukubali ukweli huku ndiko ambako huwa mnakimbilia!
 
Mahitaji yanatofauti ila both wanaume kwa wanawake wanajitoa sana.... Kuwa mpole.... Maisha hayataki fujo
Wanaume wengi hamtaki kujitoa ila mnataka wanawake ndiyo wajitoe zaidi kwenu! Kama unabisha hili ni mara ngapi wanaume wenzio wanaambiana eti "kwenye mahusiano hakikisha mwanamke ndiyo anakupenda sana siyo wewe mwanaume ndiyo umpende sana" how does that sound?
 
Hio tabia lazima ibadilike na kama haitoshi basi kila mtu a exercise uhuru wa kuchagua. I'll stick to my philosophy!

Anaeona hawezi kujitoa basi aende kwa Mo au Bhakressa akachume tu.
And that is exactly the point! Wanaume mnaolalamika kuhusu haya mambo ni wale ambao hamna hela au mna hela za mawazo na ndiyo maana hapo umewataja kina Mo na Bakhresa kwamba ndiyo wanafaa kutoa pesa!

Again unajicontradict mwenyewe kuwa the issue siyo itikadi bali ni changamoto ya pesa! Usijali tafuta pesa ukiwa nazo utatoa tu na wala hautakaa unalalamika na kuwalaumu wanawake kwa mambo madogo kama haya!
 
Wa sampuli hii ndio huwa wanakuja kukutana na wanaume vilaza huko mbeleni.

Sasa wewe unakuta kabinti hakajafika hata 20 Kameanza kusema wanaume ni mbwa, hivi wanaume amewajulia wapi, anatembea na wavulana badala ya kusoma anasema wanaume mbwa.
Hata hao wavulana pia hujiita wanaume! Mimi sina imani hiyo na wala sijawahi kusema wanaume wote ni mbwa sifanyagi generalization za hovyo hata siku moja!
 
Nimetoka kumpiga baby mama kizinga cha 500k kama utani Mzigo huu hapa,kuna ngedere 1 ilikua pembeni yangu nili iambia kama inanipenda kweli ininunulie Mdudu 1KG akaniambia yuko tayari anipe K ila sio atoe hela yake anipe mimi (mwanaume).

nikamwambia kaa tulia hapo hapo nikuonyeshe kitu kimoja,nikavuta simu nikampiga kizinga maza mjengo Maswali hayakua mengi nikaona "imethibitishwa",nikamuonyesha huyu ngedere ya pembeni angu,akaanza leta zake oooh,hiyo ilikua hela yako,ooh huyo sio mkeo n mfanyakazi wako,maneno kibao.

mwisho nikamwambia "nikwambie kitu" wewe ni maskini Jitahidi ufanye kazi kwa bidii sana sana Muombe Mungu akupe pumzi maana bado una deni kubwa sana hapa duniani,kama kawaida ake akaanza tena mbwembwe oooooh hata niwe bilionea bado msimamo wangu ni ule ule,nikamwambia hebu nenda huko jikoni kawambie watutengenezee mdudu watuletee hapa.
Wanamna hiyo unatakiwa namba yake ugawe kwa mabaharia ili watutengenezee connection video
 
Hebu tupatie mifano hai ya demand za wanaume ambazo wewe zinakuchosha na kukufanya uone wanaume wanademand a lot from women?!
Nikikutajia utasema ni za kawaida kwa sababu eti mwanamke kaumbwa kufanya hivyo! Nikuulize swali je wewe unaweza mfanyia mwanamke wako vile ambavyo unataka yeye akufanyie?
 
Teh teh i have nothing to lose my friend! Tena kwangu mimi kutokuwa kwenye mahusiano au ndoa naona kama ndiyo nimejipunguzia mzigo mkubwa ambao nisingeweza kuubeba for the rest of my life!

Nimezungukwa na watu wengi sana wenye mahusiano mazuri na mabaya na najifunza kupitia mahusiano ya aina zote! Lakini kutoka moyoni mwangu kabisa niliyoyashuhudia kwenye mahusiano mabaya yamenifanya niamue kuwa sitaki kujiingiza kwenye mapenzi hadi nakufa fullstop!
Una miaka mingapi kwa sasa?!

Maana nataka tukuhesabie hadi ukifika 28 tu tayari huu utoto utakuwa umekwisha....
 
Nikikutajia utasema ni za kawaida kwa sababu eti mwanamke kaumbwa kufanya hivyo! Nikuulize swali je wewe unaweza mfanyia mwanamke wako vile ambavyo unataka yeye akufanyie?
Nimekuuliza swali, haujajibu unaniuliza swali.....
 
Back
Top Bottom