Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Si mmeshakariri ndiyo maana! Mimi siyo wa kwanza na wala sitakuwa wa mwisho na ndiyo maana nikakuambia kitu kama haujawahi kukiona wala kukisikia haimaanishi hakipo!Una miaka mingapi kwa sasa?!
Maana nataka tukuhesabie hadi ukifika 28 tu tayari huu utoto utakuwa umekwisha....