Mapenzi ni Special kwa watu wanatumia akili kidogo

Quinton Canosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2012
Posts
1,224
Reaction score
1,250
Habari za usiku wana JamiiForums,

Kwa muda sasa nimekuwa nikiyatafakari mapenzi.

Nilichokuja kugundua ni kwamba mapenzi ni kwa watu dhaifu. Ukitumia akili nyingi kwenye mapenzi nakuhakikishia hutadumu.

Angalia wote waliofanikiwa kudumu kwenye mapenzi, akili zao zilivyo... Sina lengo la kudhalilisha, lakini mapenzi ya hapa bongo usipojifanya mjinga utaishia kulia kila siku.

Wote wanaofaidi mapenzi ni wale ambao hawatumii sana akili zao kwa kiwango cha juu, na wakijaribu kutumia akili nyingi, yatawatesa sana.

Je, pressure inaongezeka au inapungua?

Siku njema kwenu.
 
Mapenzi ni biashara, mwanamke anataka sponsor wa mahitaji yake na mwanaume anataka shimo la kumaliza nyege zake, kama mwanaume unamaliza haja zako kingono na mwanauke anaambulia vijisenti vyako iyo ni win-win.

Vile viuongo uongo vya kudanganyana mnapendana visikupumbaze, fumua mbususu effectively zamu yako ikiisha muachie baharia mwingine aendelee ulipoishia.
 
100
 
Kwenye Mapenzi mmoja anatakiwa awe bubu na mwingine kiziwi, mtadumu milele
 
Bila kutusimanga huoni raha??
Sasa kuwalia visent hapo imekujaje?? 😹😹😹
 
Mapenzi bwana sipendagi hata kuya-comentia kabisa maaana yanatabia ya kureverse kwa wanaohisi wanayajua.

Nachojua tu katika mapenzi nikuwa yanatakiwa yajiendeshe yenyewe automatically, huhitaji ku-push, kuomba, wala kuforce chochote.

Ukiona unatoa kitu au kuomba kitu kitokee basi hapo yanakuwa yashaisha, mfano unaomba upigiwe, unaomba zawadi, unaomba mtoko, unaomba ujibiwe a to z, unatoa hela ili upendwe, unafanya kitu flan kushawishi nk

Kila mmoja akikaa kwenye nafasi yake huwa yanaenda vizur sana based on man to love, woman to respect. (Position Sizing).
 
Mapenziii.....hayana shule ....coz tunakutana na Aina tofauti tofauti Sana na hao mnaowawaza.,....kila mtu anajua Yuko na sample gani ....muhimu ukiona mtu umeweza kuyabeba madhaifu yake ...na yeye kayabeba yako.,....bhas hapo unyama...ila ububu na kiziwi.... 🤣 🤣 Nonyaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…