mtegemea Mungu
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 290
- 507
Yaan right now hapa sasa hv nnavyoongea nna machungu yasiyoelezeka mshenz nimempenda ananiletea vioja yaani si unajua maisha ya kichuo chuo nilikua nakaa nae tukakwazana kitu kdg tena yy ndio sababu akanipotezea yaan mtu nipo nae ndani tunapishana tu baada ya salamu nikalia wee! Akaja na slogan mpya anaenda kukaa kwa rfk zk eti mm namchanganya aisee kikawa kilio kingine kumbembeleza akae tena nlivyo fala namwambia hakuna mtu mkamilifu nisamehe km mm nimekukosea mi kwa makosa uliyonifanyia nishayasamehe...kaka we leo nimeshindwa ht kuingia class ninaumwa mapenz cha zaid kaja kachukua vitu vyk akaniachia kitu flani hv eti hicho kaa nacho nilikupa km zawadi kwa upendo shenz type nimemuangalia tu nikamwambia Goodbye and stay safe yaani hii nimeitoa kutoka moyoni sitaki kumuona tenaa! Eti linafika mbele linanitxt tumeachana ila bond yetu isife mm ngj tu ni move kwa muda nilichomjibu ni asirudishe matako yk kuna muda inabidi useme enough is enough ili ht heshima iwepo.