Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sure,MAPENZI NOMA Sana,siku hizi mahisiano bila unafiki hayadumu kabisa utaona unakumbatiwa unahisi kama unapendwa kumbe unanuswa[emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 2884578
Kweli kabisa, unaona mtu anakukumbatia mkilala unajua mahaba yamenoga kumbe mwenzako anakuchunga usiamke ukampiga search😔Mapenzi noma sana, siku hizi mahisiano bila unafiki hayadumu kabisa utaona unakumbatiwa unahisi kama unapendwa kumbe unanuswa[emoji28][emoji28][emoji28].
View attachment 2884578
😂 kwanin afanye hivyo kama anakuamini?Kweli kabisa, unaona mtu anakukumbatia mkilala unajua mahaba yamenoga kumbe mwenzako anakuchunga usiamke ukampiga search😔
Daah hizi kauli zako mkuu, Kwa Ndraaani ni tatraaari sanaa🤣🤣🤣sure,
Harufu nyingine ni kwa nje tu lakini kichefuchefu aise 🐒
just imagine kwa ndraaaaaani itakuaje🐒
ndroo ivo tena dahDaah hizi kauli zako mkuu, Kwa Ndraaani ni tatraaari sanaa🤣🤣🤣
Hatari sana