Mapenzi sikuhizi nipe, nikupe

Mapenzi sikuhizi nipe, nikupe

Bavaria
Sometimes unazila, ukicheki mlolongo wa mahitaji au ukubwa wa hela.
 
Wasichana wengi wa kizazi cha leo hutoa mahaba ikiwa tu kuna bingo. Vijana wa kiume nao siku hizi wameshtuka, hawatoi mkwanja mpaka wamekula mzigo kwanza. Njia panda ni pale, ambapo nani aanze kutoa chake. Kufanya mapenzi siku hizi ni kama unaingia mkataba wa kibiashara. Money on the table, funguo ya chumba mkononi ndio papuchi iliwe.

Yako wapi mapenzi?

Tunaenda wapi kizazi hiki?

Karibuni kwa mjadala
Hahaha
 
Back
Top Bottom