Mapenzi sio poa kabisa: Ulichukua muda gani kurudi kama zamani?

Mapenzi sio poa kabisa: Ulichukua muda gani kurudi kama zamani?

Vipi imewahi kukutokea hii, yani ulikuwa unampenda sana mtu Then hakukuoa/hakuolewa na yeye. Akaja akaoa/akaolewa na Mwingine kabisa?

kuna vitu vinaumiza sana sio siri.
POLE BRO INATEGEMEA NA KITU ULICHOPIGWA NACHO KICHWANI KINA UZITO GANI

Kurejea katika hali ya kawaida inategemea mlikuwa mnapendanaje, mazoea, mipango yenu n.k
 
Ni ngumu kurud kma zaman bt unabadilisha uelekeo tu yan kma upepo na bendera vile then maisha yanaendelea...........😁😁Hya mambo hya yananifanya nione kila mwanamke mwizi tu 😁😁 saiv kila nikipata chimbo jipya tunaishi kama wezi tu afu burudaaaani
 
Kama wewe ni mwanaume utaweza kumsahau huyo kwa kuwa malaya(yes umalaya unasaidia kupunguza maumivu na kumbukumbu mbaya za mapenzi)..Yaani namaanisha uwe playboy wewe wachape tu,chapa chapa chapa hiyo ndio njia pekee ya kumsahau aliyekutenda(kwa mwanaume lakini)..Muhimu katika hii ishu uwe vizuri financially na uzitafute pesa haswaaa maana mwenye pesa mapenzi huwa hayamuumizi kiviiile watakuja raia hapa watanipinga wengine watasema magonjwa hatukatai hapa akili lazima iwe kumkichwa chovya kwa tahadhari...HAKIKA UTAMSAHAU
 
Unaweza kufa,afu aongezee na kusema toa mimba yangu.Ha ha haa,ila uking'oka hapo aiseee,utaumiza sanaa
Hapo zile kauli za wanaume wote ni mbwa tu au wanawake wote malaya ndio zinapoanza kujitengeneza kichwani.
 
Ni ngumu kurud kma zaman bt unabadilisha uelekeo tu yan kma upepo na bendera vile then maisha yanaendelea...........[emoji16][emoji16]Hya mambo hya yananifanya nione kila mwanamke mwizi tu [emoji16][emoji16] saiv kila nikipata chimbo jipya tunaishi kama wezi tu afu burudaaaani
Kama nmekuelewa hivi mwamba!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ngoja kwanza nimalize kufuta machozi halafu nije kutoa ushuhuda..

KichWa Box
 
Siku iliyofuata, nikawa good kabisa
 
Back
Top Bottom