I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
POLE BRO INATEGEMEA NA KITU ULICHOPIGWA NACHO KICHWANI KINA UZITO GANIVipi imewahi kukutokea hii, yani ulikuwa unampenda sana mtu Then hakukuoa/hakuolewa na yeye. Akaja akaoa/akaolewa na Mwingine kabisa?
kuna vitu vinaumiza sana sio siri.
Unaweza kurudi ktk hali yako hata kesho. Its all about you.Vipi imewahi kukutokea hii, yani ulikuwa unampenda sana mtu Then hakukuoa/hakuolewa na yeye. Akaja akaoa/akaolewa na Mwingine kabisa?
kuna vitu vinaumiza sana sio siri.
Binafs toka mwez wa 11 mpaka leo bado naumia, japo wa kuwanyandua wa hapa na pale nawapata ila bado namkumbuka msukuma wanguVipi imewahi kukutokea hii, yani ulikuwa unampenda sana mtu Then hakukuoa/hakuolewa na yeye. Akaja akaoa/akaolewa na Mwingine kabisa?
kuna vitu vinaumiza sana sio siri.
Ila hii ni kweli utakula mbususu weee ila kuna kale kamwanamke kamoja yaani piga ua lazima kamoyo kako kamjwazage...wee rebeccaaaaaaaaa kweli sitakusahauBinafs toka mwez wa 11 mpaka leo bado naumia, japo wa kuwanyandua wa hapa na pale nawapata ila bado namkumbuka msukuma wangu
Pole sana aisee..Ni yuleyule uliyemtoa bikra au?Daaa hayo maumivu ni makali sn,yananiumiza mpaka sasa tangu mwezi wa April mwaka huu.
Hapo zile kauli za wanaume wote ni mbwa tu au wanawake wote malaya ndio zinapoanza kujitengeneza kichwani.Unaweza kufa,afu aongezee na kusema toa mimba yangu.Ha ha haa,ila uking'oka hapo aiseee,utaumiza sanaa
Kama nmekuelewa hivi mwamba!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni ngumu kurud kma zaman bt unabadilisha uelekeo tu yan kma upepo na bendera vile then maisha yanaendelea...........[emoji16][emoji16]Hya mambo hya yananifanya nione kila mwanamke mwizi tu [emoji16][emoji16] saiv kila nikipata chimbo jipya tunaishi kama wezi tu afu burudaaaani
Cjawah umizwa kama term hii dah! Aiseee! Nang'onoka bt still namkumbka tu I wish uko aliko atoswe ili arejee kwangu mwamba!!Ila hii ni kweli utakula mbususu weee ila kuna kale kamwanamke kamoja yaani piga ua lazima kamoyo kako kamjwazage...wee rebeccaaaaaaaaa kweli sitakusahau