cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo mkuu wewe unashauri nini kuhusu haya mahusiano?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo mkuu wewe unashauri nini kuhusu haya mahusiano?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fahyma ajitahidi ampe mganga wake hata IST
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yeye mwenyewe enzi zake kawabandua sana watoto wa wenzie ndo mana kaw mpole
Kati ya makosa makubwa sisi wanaume tunafanya ni kuzaa na hawa wanawake wa mitaani hata kwenye madanguro huku tukitegemea watoto wetu watakuja kuwa tofauti na wao.Mapenzi siyataki tena,'Paula Kajala adai baada ya Rayvanny kupakia picha ya Fayvanny
Rayvanny ni msanii wa Bongo aliyesajiliwa chini ya WCB Wasafi. Yeye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Next Level music.
Rayvanny aliachana na mpenzi wake na mama wa mtoto wake Fahyma mapema mwaka huu .
Alianza kuchumbiana na binti wa muigizaji maarufu Paula Kajala . Paula ni mwanamitindo na mshawishi wa chapa.
Tangu wawili hao waanze kuchumbiana wameonyesha mapenzi kwenye mitandao ya kijamii huku wakipost kila mmoja akitoa maneno ya mapenzi .
Jana msanii huyo alitumia hadithi zake za Instagram kumpost mpenzi wake wa zamani Fahyma.
Baada ya muda msanii huyo aliichomoa picha hiyo .Saa moja baada ya msanii huyo kufuta picha hiyo Paula Kajala aliacha kumfuata ambayo baadaye ilifuatiwa na Rayvanny na kuaha kumfuata Paula kweye ukurasa wake wa instagram.
Wawili hao ambao hawajafuatana wamewaacha mashabiki wakiulizana iwapo bado wapo pamoja au ni kikitu wa kuutangaza wimbo wake mpya kabisa na Maluma. ?
Kupitia kwenye ukurasa wake Paula kajala, alisema kwamba ameacha mambo ya mapenzi, na kutia bidii kwenye masomo yake.
"Ngoja nikazane na masomo tuu😭😭 mapenzi siyataki tena jamani😩 basi nikisema hivi kuna vizabi zabina leo watapika pilau kufurahia🤣🤣🤣," Paula aliandika.
Pia Paula kwenye ukurasa wake mwingine wa instagram siku ya Jumamosi alidai kwama yeye na Rayvanny hawataachana, na kwa wanao ngoja waachane haya basi watangoja sana.
"Mimi kuachana na Rayvanny sio leo wala kesho mpaka Mungu atakapo tutenganisha mpoo?🤣🤣🤣 mtasubiri zaidi ya Jux vizabi nyie mpigwe shoti mfe wale msiopenda mahusiano yangu na ray."
Majani kamuanza bado akiwa Mbuyuni, alikuwa bado hajazibuka kivile.Kajala ni Malaya aliyeahindikana kitambo sana mtoto wa Kota za polisi huyo hamna kitu hapo.
Mi naangalia anaelike tu🤔🤔🤔Ahsante kwa taarifa, mambo yao waachie wenyewe...
Na yeye amekaza mabinti wa watu sana malipo hapa hapa dunianiMchizi anamkaza binti yake producer P Funk majani mjeuri.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mimi naona ana jifotoa pichaa tuuHuyu anasoma saa ngapi?
Majani alikuwa anamla kajala wakati anavaa uniform pale bamaga sinzaMajani naye kala sana binti za watu, hata Kajala kaanza kumkwega akiwa mdogo sana.
Muosha huoshwa.
Exactly, you know alimtia mimba akiwa na 18yrs.Majani alikuwa anamla kajala wakati anavaa uniform pale bamaga sinza
Kajala anafichwa room analiwa ndio anaenda kwao ndio mwisho wa siku hako kapaula kamepatikana .
To kinachotokea Sasa ni marudia tu ya matukio ndio huwezi msikia majani akipaniki katulia tu anajua kabisa he pays the price [emoji1787]
HahahahaKwenye hii picha Ray ndo yupi sasa? Maana wote naona kama watoto wa kike tu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kwahiyo mkuu wewe unashauri nini kuhusu haya mahusiano?
Mkuu huyo rayvan ndio Nani
Sio wote tunaomjua huyo mtu
Tupe wasifu wake kidogo
[emoji113][emoji113]inatoshaUyo rayvanny ndo Nani hapa mjini?
Umeandika kana kwamba wote humu tunamjua.
We kaka unauza nini?🤣