Tetesi: Mapenzi siyataki tena Paula Kajala adai baada ya Rayvanny kupakia picha ya Fayvanny

Kati ya makosa makubwa sisi wanaume tunafanya ni kuzaa na hawa wanawake wa mitaani hata kwenye madanguro huku tukitegemea watoto wetu watakuja kuwa tofauti na wao.
 
Mapenzi yalikuwepo toka enzi na enzi kwahiyo wao kupendana sio kitu cha ajabu ni kawaida na hamtoweza kuvuka luv la:-

You "My Boo" like Usher, and Alicia Keys
And every time that you touch me girl you please my knees
Be like, George and Weezy, Jada and Will(Lakini sasa nanga inapaa)

Romeo and Juliet
Jack and Rose (Titanic 1912)
Ciara and Bow wow
Usher and Tboz


Waangalie hii video kisha wajipime kama wanakula bata kama hili.



 
Majani naye kala sana binti za watu, hata Kajala kaanza kumkwega akiwa mdogo sana.
Muosha huoshwa.
Majani alikuwa anamla kajala wakati anavaa uniform pale bamaga sinza

Kajala anafichwa room analiwa ndio anaenda kwao ndio mwisho wa siku hako kapaula kamepatikana .

To kinachotokea Sasa ni marudia tu ya matukio ndio huwezi msikia majani akipaniki katulia tu anajua kabisa he pays the price [emoji1787]
 
Exactly, you know alimtia mimba akiwa na 18yrs.
What goes around comes around.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…