Sasa huyo aliyekufanya ukaandika hapa ndiye umpendayenataka kupendwa nipendako.
Wakupendao tupo [emoji41]Bado natafuta.
Haha sina, japo nazisakanya.Una hela?? Kama huna hela mkuu we mpende anaekupenda tu
ndio uyo huyo.Sasa huyo aliyekufanya ukaandika hapa ndiye umpendaye
tupo wengiKumbe hata wengine wanawakuta, nlizan ni mm peke yangu[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
yaani dah! mfano mimi pale nilipopenda mimi ndugu na hata wazazi wake wananipenda sana lakin mhusika kama hana habari kabisa.hili limenikuta mm pia nampenda sana na ninahitaji nimuoe kweli lakin ananisumbua sana mpaka nakosa raha yan ila kuna anaenipenda tena sana lakin hata moyo wangu aumpend kabisa ila kweli nakiri kama kupendwa pale nilipendwa tatzo moyo sasa umependa huku
wakati mwingine mawazo mpaka mtu unakonda ila nasema siku nikimuacha nitamuacha kweli kweli na sitokumbuka teena nyumayaani dah! mfano mimi pale nilipopenda mimi ndugu na hata wazazi wake wananipenda sana lakin mhusika kama hana habari kabisa.
kwa masuala mengine sawa lakin swala la mapendo hana habari kabisa.
Haha nafikirigi wenda unakuta yeye naye anayempenda hampendUnaempenda akupendi anaekupenda humpendi
ndivo ilivyo lakn acha nipende moyo ulipopenda mana nisije kujutia badaeUnaempenda akupendi anaekupenda humpendi
Duuh, hivi kwanini inakuaga vice versa jamani, maana Mimi ninayemwelewa nadhani hataki hata kuniona [emoji22]Unaempenda akupendi anaekupenda humpendi
Mpaka wewe yana kuumiza bossDuuh, hivi kwanini inakuaga vice versa jamani, maana Mimi ninayemwelewa nadhani hataki hata kuniona [emoji22]
Nini shida jaman
nimpendaye ananizingua balaa, niko serious kumuoa lakin majanga tuu.
anayenipenda hata simzimii kabisa.
Duuh, hivi kwanini inakuaga vice versa jamani, maana Mimi ninayemwelewa nadhani hataki hata kuniona [emoji22]
Anakuzingua coz ashakusoma udhaifu wako. Umewezwa.. kazi kwako.Nini shida jaman
nimpendaye ananizingua balaa, niko serious kumuoa lakin majanga tuu.
anayenipenda hata simzimii kabisa.