Mapenzi vyuo vikuu: 90% ya wanachuo wameoana; 80% wajawazito.

Its true buddy hata uku kwetu saut mambo ni yale yale ila cwez kuwalaumu kwan ni watu wazma na pia umri unarhusu chamsingi wawe tu waaminifu kujiepusha na magonjwa.
lakini siyo kwa hizo data zaka za asilimia 80 na 90
 
wewe mwenyewe sio mfanyakazi bora hata kiswahili hujui vizuri,kajipange upya uje vizuri .the issue is too personal to discuss here sir .
 
Napendekeza adhabu ya viboko irudishwe vyuoni kwa hawa wazinzi
 
mambo hayo yapo sana ila sio 90% na 80% sema tu more than 50% ya wanachuo, roughly!!!
 


Tatizo linaanzia hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…