Duduke bhana, halafu unaonyesha una gubu kinoma,[emoji3][emoji3],unaongea bila breki....mkamuone daktari,huwenda ikawa "aleji" pia,msisahau kupima damu kubwa.niamini mimi mkuu.Chige ni vipele t ivyo sijui ni ugonjwa gani ata mi nimechukua hii picha nimweleweshe huyu chizi aliyekatwa masikio na ubongo wake ulocheza kipindi yupo mdogo haelew namwambia ma baby katoka vi rashes uson kama vya baridi alibadilisha mafuta kakazana ukimwi ukimwi wakati yemwenyewe CD 4 zishamshuka hajielewi kazi kuchunguza CD 4 za wengine wakati zake anashindwa kuzi maintain zisishuke
sindano zimemwingia amebaki anajiquote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jf sihami
Ni mwendo wa kujiquote tu
Una akili timamu? Mbona unajijibu mwenyewe.Kwani nikikusimamisha wewe na yeye we ndo una ukimwi kione kilivyokondeana! Kirefu kinasukumwa na upepo tu cheusi hata hakivutii kilivyo vile
DuuuuuhMkapime virusi vya UKIMWI.
Daaaah.....Duduke bhana, halafu unaonyesha una gubu kinoma,[emoji3][emoji3],unaongea bila breki....mkamuone daktari,huwenda ikawa "aleji" pia,msisahau kupima damu kubwa.niamini mimi mkuu.
Huku ndani kuna comedy bila kelele aisee. Burudani haswaaaaaaaWe huwa hueleweki..mara umeolewa ukaachika mara umerudiana na mumeo,mara leo una mpenzi mpya, mara umezalishwa ukatelekezwa..kwa kifupi hujielewi yani.
π€π€Mkapime virusi vya UKIMWI.