Mapenzi ya dhati

Aksante.............. mdo nitaipata wapi sasa?sema wewe ni indicator gani akikufanyia mwenza hapo unaridhika kuwa kweli wapendwa? mbona unaruka kimanga?

Mbona ipo maeneo mengi sweet!
Mi bana uliza watoto wa kitanga iwa wanafanyaje ndo nachenguka kabisa.
 
Mbona ipo maeneo mengi sweet!
Mi bana uliza watoto wa kitanga iwa wanafanyaje ndo nachenguka kabisa.

Mh haya watoto wa kitanga kipi sasa kinachokuchengua kubebwa mgongoni au kuwekewa maji ya iliki au ile yasmini kitandani au ndo mambo ya kuwekewa kwenye kisahani cha chai au ile thermos ya maji pembeni ya kitanda?
 
Mh haya watoto wa kitanga kipi sasa kinachokuchengua kubebwa mgongoni au kuwekewa maji ya iliki au ile yasmini kitandani au ndo mambo ya kuwekewa kwenye kisahani cha chai au ile thermos ya maji pembeni ya kitanda?


😉🙄😛😕.............
 
Mh haya watoto wa kitanga kipi sasa kinachokuchengua kubebwa mgongoni au kuwekewa maji ya iliki au ile yasmini kitandani au ndo mambo ya kuwekewa kwenye kisahani cha chai au ile thermos ya maji pembeni ya kitanda?

Haya tisa kumi ni wanavyo jua kupenda akikupenda yeye hajivungi anaonyesha upendo mara dufu hata kama unamfanyia kama Mr.wako anavyo kufanyia wewe. Hawa bana wanajua sana manjonjo.
 
Apo juu nimetoka 'kapa' sijaelewa......please help MJ1🙄

Wapi pa kisahani cha chai kaka? ah watanga utawaweza kwa manjonjo? mzee ukifika nyumbani wakaribisha na kupokewa (MZEE MKUBWA) anawekwa kwenye kisahani asichoke kabla ya kutoa huduma ah
 
Wanaume, kina kaka: Ni vitu gani akivifanya wifi (mkeo/girlfriend au demu wako) vinakudhihirishia kuwa anakupenda kwa dhati

...nikisema "..mpaka atapotaka kujiua kwa ajili yangu", mtaniona mwanga?!
 

Sasa mbona hapo kwenye kipapli mimi huwa najiondokeaga tuu na kurudi nipendapo...kumbe huwa nakoseaga eee! ngoja nijirekebishe maana hizo zote nazitekelezaga. Lol am i an angle ga dem s**t, we need equality.
 
Unamaana jamaa ndo unampiga chini au ndo kurenew mapenzi mama?
Lakini penzi likichuja shrti ulirenew unajua hilo?
Asante my shemeji,

Ehe watu hurenew vipi, hebu nimwagie basi.
 
...nikisema "..mpaka atapotaka kujiua kwa ajili yangu", mtaniona mwanga?!
Kwa kweli weye mwanga hasa. Mtu atoe uhai wake aliopewa na mnyezi Mungu mungu kwa ajili yako kidudu mtu tuu. Haijaclick kwenye blongata yangu kabisa.
 
Kwa kweli weye mwanga hasa. Mtu atoe uhai wake aliopewa na mnyezi Mungu mungu kwa ajili yako kidudu mtu tuu. Haijaclick kwenye blongata yangu kabisa.

...ndio maana nilipoambiwa '...nitasaga chupa au ninywe sumu juu yako nifilie mbali...', nilimjibu '...kanywe!' ...mbona hakunywa?
mapenzi mengine usanii mtupu bana.
 


Usipoteze muda kuzungukazunguka hapo inaelekea bottom line yako ni 'POCHI" tu!!!
 
Usipoteze muda kuzungukazunguka hapo inaelekea bottom line yako ni 'POCHI" tu!!!

.... You're right............. from your understanding of it.
 
Last edited:
Sasa kama unapenda POCHI kuna mapenzi hapo?? sema unachuna buzi.



naona cku hizi mapenzi nduguye pesa bwana! mana wanaume wenyewe wa cku hizi ana mke/galfrnd/mchumba lakini bado ana vigaloni 10, ucpopewa wewe hizo pesa atapewa mwenzio....bora mkae ki pesa pesa tu......
 
Sasa kama unapenda POCHI kuna mapenzi hapo?? sema unachuna buzi.

Fidel wapi nimesema ninapenda pochi? Nimerespond kwa huyu Bu nini sijui ambaye amefanya judgement out of my post ambayo unfortunately siwezi kumbishia kwa kuwa ni mtazamo wake so he is right.

Sijasema ninapenda pochi au la ila katu pochi la kuchuna sidhani kama ni kigezo cha penzi besides I have my own. lol
 
naona cku hizi mapenzi nduguye pesa bwana! mana wanaume wenyewe wa cku hizi ana mke/galfrnd/mchumba lakini bado ana vigaloni 10, ucpopewa wewe hizo pesa atapewa mwenzio....bora mkae ki pesa pesa tu......

Nisichoelewa wanacholalamika hapa ni kwamba wanaume wenyewe siku hizi wanakwenda kwa kuangalia pochi ama sivyo kusingekuwa na ving'asti vinavyolelewa na mimama.

Wengine wenyewe hutegemea pesa za magirl friend wao so siku hizi hakuna anayechunwa kama wanavyotaka tuamini kwa kuwa mwendo ni kuchunana kama si kutumiana lol
 


marioo......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…