IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,578
- 7,774
Nipo hapa kijiweni kama kawaida nang'arisha viatu,washkaji kama kawaida wamejaa kijiweni wakilonga kila mtu alilonalo analiwasilisha na mijadala imepamba moto hapa.Kwa kweli kijiweni kuna raha yake hata kama mishe2 za hapa si za kuingiza mihela mingi kama ya epa lakn kila kitu ni burudani.Moja lililonifurahisha na kunishangaza ni hili
Eti,..kuna jamaa ana mpnz wake wanayependana sana toka kitambo,..sasa jana jion jamaa akiwa maeneo na washkaji akamuona demu wake kaongozana na jamaa mwingine,ikabidi amfuatilie ajue nini hatma yake.Demu na jamaa wakaenda mpaka ghetto kwa mshikaji_hapo jamaa kapagawa...kashindwa akitinga home kwa jamaa_jamaa anaweza akamtoa nduki na bisibisi halafu itakua how come sababu hajamuoa..ikabidi asubiri sehem na washkaji wake,..mara sister duu anatokea anakutana na mshkaji anaaanza kulia eti shetan kamwingia hakua na nia ya kumsaliti mshkaji na kamwe hayuko tayari waachane.
Sasa mimi nashindwa kuelewa huyu mdada amefanya haya yote,tena kwa hiari yake halaf anasema eti shetan,....bado anampenda mshkaji wake na hayuko tayari waachane.......wana jf huu ndio mtindo mpya wa mapenzi?
Eti,..kuna jamaa ana mpnz wake wanayependana sana toka kitambo,..sasa jana jion jamaa akiwa maeneo na washkaji akamuona demu wake kaongozana na jamaa mwingine,ikabidi amfuatilie ajue nini hatma yake.Demu na jamaa wakaenda mpaka ghetto kwa mshikaji_hapo jamaa kapagawa...kashindwa akitinga home kwa jamaa_jamaa anaweza akamtoa nduki na bisibisi halafu itakua how come sababu hajamuoa..ikabidi asubiri sehem na washkaji wake,..mara sister duu anatokea anakutana na mshkaji anaaanza kulia eti shetan kamwingia hakua na nia ya kumsaliti mshkaji na kamwe hayuko tayari waachane.
Sasa mimi nashindwa kuelewa huyu mdada amefanya haya yote,tena kwa hiari yake halaf anasema eti shetan,....bado anampenda mshkaji wake na hayuko tayari waachane.......wana jf huu ndio mtindo mpya wa mapenzi?