Bollo Yang
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 440
- 51
mimi sikubishii kwakuwa huo ndio upeo wako wa kufikiri na ni mtazamo wako!Mara nyingi baadhi ya wanaume wa kitanzania (mimi mmojawapo) tunaamini kuwa mwanamke utayeanzisha mahusiano nae kupitia facebook ama mtandaoni kwa ujumla ni kicheche!!! Ingawa yeye (Mwanamke) anaweza kuwa very serious kwenye hiyo relationship...
Mnabishaaaaaaaa??[/QUOTE]
Acha kuongea ngera...lete substance hapa acha kutafuta mabishano..Sasa unataka kubishana na nani na huo ndio upeo wako wa kufikiri?
Mnabishaaaaaaaa??[/QUOTE]
Acha kuongea ngera...lete substance hapa acha kutafuta mabishano..Sasa unataka kubishana na nani na huo ndio upeo wako wa kufikiri?
Dah WOS umenikumbusha mbali kishenzi na hilo neno la ngera hapo juu. nimekugongea senksi dada yangu.
Dah WOS umenikumbusha mbali kishenzi na hilo neno la ngera hapo juu. nimekugongea senksi dada yangu.
Ndugu yangu..imebidi niende kwenye archives kutafuta neno stahiki lol.
Mleta hoja..haleti hoja kama anavyotarajiwa..bali ati anaita watu wabishane naye!
Nami nishakugongea ..thanks again!
Nikuulize swali wewe mpenzi wako umemtoa wapi??? Tusijekubishana hapa
HAJUI KUWA SASA NI DUNIA YA ICT LOL...
Anadhani bado watu wanakutana kisimani, kwenye kukata majani, kwenye ngoma, kwenye mchiriku.....endeleza
Labda tumsaidie ku frame vizuri ishu:
Wana JF, MKITAKA KUPATA MWANAMKE/MWANAUME AMBAYE ANAFAA , NI WAPI MAHALI PAZURI?........
Nilihisi tu watakaojibu saaana ni wasichana!!! hahahaha..lol
Kwa hiyo umefurahi sasa eee???
Thinking capacity yako mhhhhhhh!Nilihisi tu watakaojibu saaana ni wasichana!!! hahahaha..lol
kwa ku rephrase suala lako ungeuliza hivi " jee social networks mtandaoni kama facebook ni sehemu nzuri ya kutafutia wake?"
lakini sio unakuja hapa unataka "tubishane" na upeo wako wa kufikiri.
wako tele walopata wake facebook na wametulia nao kuliko hata wale waliowaona kwenye nyumba za ibada.
WOS nakubaliana na wewe 100% hii dunia ni ya ICT....HAJUI KUWA SASA NI DUNIA YA ICT LOL...
Anadhani bado watu wanakutana kisimani, kwenye kukata majani, kwenye ngoma, kwenye mchiriku.....endeleza
Labda tumsaidie ku frame vizuri ishu:
Wana JF, MKITAKA KUPATA MWANAMKE/MWANAUME AMBAYE ANAFAA , NI WAPI MAHALI PAZURI?........
I hope you are one of them!Hivi kuna njemba zinatafutaga mademu kwenye facebook?? lolz.