Nyie nanyi mnayafanya makuuubwa mambo ya enzi hizo hata sikumbuki nilikuwa namzungumzia nani aaaahhh
Nyie nanyi mnayafanya makuuubwa mambo ya enzi hizo hata sikumbuki nilikuwa namzungumzia nani aaaahhh
Mpenzi wangu anapenda sana kutetemekewa kiasi kwamba hata kama ana makosa yeye mi ndo nimuombe msamaha nachukizwa sana na hii tabia mi napenda kumuheshimu zaidi kuliko kumtetemekea........msaada wenu please!
Ha ha haaa umenichekesha sana mamy..watu wamekomalia sredi na ww ushamsahau..mi kuna kipindi nlimliliaga sana mwanaume hadi nkataka kunywa sumu lakini eti saiv hata jina la huyo mkaka silikumbuki..duh
Title ya hii thread ilitakiwa kuandikwa "niko utumwani"Mpenzi wangu anapenda sana kutetemekewa kiasi kwamba hata kama ana makosa yeye mi ndo nimuombe msamaha nachukizwa sana na hii tabia mi napenda kumuheshimu zaidi kuliko kumtetemekea........msaada wenu please!
nimeshatembea na hapa ndo nimefika sasa......
Kooooooosasa unalalama nini.....endelea kutetemeka hata kama kuna joto.....nyooo
Tuna watoto sahivi lol...Haha,, kumbe unae mpenzi swaiba,ilikua 2012, vp keshakuwowa au
............