Tuna watoto sahivi lol...
MentorMdau,kwanza haujafunguka vizuri maana hujasema anapenda kutetemekewa kwa mambo na vile vile umewahi kukaa naye na kumweleza hilo jambo? Kitu kingine ambacho kabla hujapewa ushauri ni vizuri ukiweka bayana tofauti ya umri kati yako na yeye coz that could be one of other reasons!
Nshamwambia sana hadi nimechoka, mambo tu ya hapa na pale akiongea kitu nikimwambia cijapenda ananuna hadi mi ndo nianze tena kubembeleza.....
Kula na kipofu usimshike mkono wewe! Kama umeshindwa kumtetemekea achia mzigo uone wanaojua kutetemekea watu waki-cover nafasi....
Wameanza Kuichakata jf achia mtaani 😀😀 ni be4 thatKumbe tangu 2012 wanaichakata tuu