Mkuu salamzako ntazifkisha lakini kumletahapa amwage kaujumbe ngum akizoea kina KAKAKIIZA wataniharibia ndoa
Hivi inawezekana kweli watu wakafahamiana kupitia Internet, kisha wakaelewana mpaka wakaonana, na wakapendana mpaka wakaoana? Inawezekana?
Hakuna kisichowezekana chini ya Jua,mana kama linalopangwa na Mungu binadamu hawezi kulipangua,walipendana wakaridhiana kwa nini sio?Hivi inawezekana kweli watu wakafahamiana kupitia Internet, kisha wakaelewana mpaka wakaonana, na wakapendana mpaka wakaoana? Inawezekana?
ni PM nkupe ushuhuda
Inawezekana sna ndo maaana kuna dating site... but kuwa mwangalifu
Lengo la ebsite/internet ni kupanua wigo, unajua kama wewe uko hapo Dar kwa mfaranyaki, ni vigumu sana kumwona Preta kule Yeda Chini AR lakini mkiweka picha zenu hapa (namaanisha kwenye website/internet),Hivi inawezekana kweli watu wakafahamiana kupitia Internet, kisha wakaelewana mpaka wakaonana, na wakapendana mpaka wakaoana? Inawezekana?
[/I]
Lengo la ebsite/internet ni kupanua wigo, unajua kama wewe uko hapo Dar kwa mfaranyaki, ni vigumu sana kumwona Preta kule Yeda Chini AR lakini mkiweka picha zenu hapa (namaanisha kwenye website/internet),
kila mmoja akaona sura ya mwenzio na kusoma kaujumbe kanakoambatana na picha, kinachofuata hapo ni
kidate ili muweze kuonana ana kwa ana (aka 101). Kinachofuatia hapo ni matokeo ya internet ......... samaahaki Preta ni mfano tu ...:smile-big:
Ya kweli hayo mtoto wa Yeda Chini ............. Ngoja niende jim kwanza maana nasikia unapenda vifuu vikubwa, ila usininywee mkongoraa kwanza maana nimeona kule ... kuwa na nyie huwa mnatumiaga hii kituteh teh....mi nataka tuanze huu mchakato mimi na wewe.....halafu tuwaaibishe hao wanaosema haiwezekani