mapenzi ya kweli yapo, na pia hayapo,,,pata mpenzi ukiwa na pesa halafu baada ya miaka kadhaa upepo uende vibaya na uishiwe, na wakati huo mkeo au/mumeo ndio awe na pata kubwa.... Hapo ndio utagundua kuwa mwenza wako ana mapenzi ya kweli au ni tapeli