tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
Huwa inatokea watu wanakuwa wapenzi kwa kujilazimisha/kuhofu asipokubali itakuwaje. 1.Chukulia mfano, dada aliye katika matatizo makubwa, mkaka akatokea akamsaidia kwa kila hali 2. Chukulia watu waliosoma pamoja/waliishi mtaa mmoja, leo wanakutana mbali baada ya miaka mingi. Siku zote mapenzi ya ningefanyeje huendana na utetezi wa "Mungu ametupangia", je mapenzi ya "ningefanyeje" yasiyo na option ya kukataa nayo ni mapenzi ya kweli? Nawasilisha