Mapenzi ya "ningefanyeje"

Mapenzi ya "ningefanyeje"

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,129
Huwa inatokea watu wanakuwa wapenzi kwa kujilazimisha/kuhofu asipokubali itakuwaje. 1.Chukulia mfano, dada aliye katika matatizo makubwa, mkaka akatokea akamsaidia kwa kila hali 2. Chukulia watu waliosoma pamoja/waliishi mtaa mmoja, leo wanakutana mbali baada ya miaka mingi. Siku zote mapenzi ya ningefanyeje huendana na utetezi wa "Mungu ametupangia", je mapenzi ya "ningefanyeje" yasiyo na option ya kukataa nayo ni mapenzi ya kweli? Nawasilisha
 
Huwa inatokea watu wanakuwa wapenzi kwa kujilazimisha/kuhofu asipokubali itakuwaje. 1.Chukulia mfano, dada aliye katika matatizo makubwa, mkaka akatokea akamsaidia kwa kila hali 2. Chukulia watu waliosoma pamoja/waliishi mtaa mmoja, leo wanakutana mbali baada ya miaka mingi. Siku zote mapenzi ya ningefanyeje huendana na utetezi wa "Mungu ametupangia", je mapenzi ya "ningefanyeje" yasiyo na option ya kukataa nayo ni mapenzi ya kweli? Nawasilisha
Yana maisha marefu kama ya nzi!
 
Huwa inatokea watu wanakuwa wapenzi kwa kujilazimisha/kuhofu asipokubali itakuwaje. 1.Chukulia mfano, dada aliye katika matatizo makubwa, mkaka akatokea akamsaidia kwa kila hali 2. Chukulia watu waliosoma pamoja/waliishi mtaa mmoja, leo wanakutana mbali baada ya miaka mingi. Siku zote mapenzi ya ningefanyeje huendana na utetezi wa "Mungu ametupangia", je mapenzi ya "ningefanyeje" yasiyo na option ya kukataa nayo ni mapenzi ya kweli? Nawasilisha
Yana maisha marefu kama ya nzi!!!!
 
Huwa inatokea watu wanakuwa wapenzi kwa kujilazimisha/kuhofu asipokubali itakuwaje. 1.Chukulia mfano, dada aliye katika matatizo makubwa, mkaka akatokea akamsaidia kwa kila hali 2. Chukulia watu waliosoma pamoja/waliishi mtaa mmoja, leo wanakutana mbali baada ya miaka mingi. Siku zote mapenzi ya ningefanyeje huendana na utetezi wa "Mungu ametupangia", je mapenzi ya "ningefanyeje" yasiyo na option ya kukataa nayo ni mapenzi ya kweli? Nawasilisha

...mambo ya shingo upande hayo,...kujilazimisha hakudumu!....ipo siku utachoka ku pretend, hapo hata ufanyeje huwezi rudisha moyo nyuma.

Hiyo "ningefanyeje," iwapo mtumiaji atalitumia hilo neno kukwepa responsibility ya maamuzi yake sidhani kama ni mapenzi ya kweli, Unless mtumiaji anamaanisha "ningefanyaje nami nilimpenda/nampenda!"
 
Hayo maneno wanayo wanawake walioolewa na mijitu ya ovyo

utasikia ningefanyaje sasa....
Arrgh,,,,,,,,,,,,
 
Nafikiri hii huwatokea sana watu wanaokutana mbali na makwao, hasa wanaoenda nje ya nchi kusoma, mnajikuta mko wawili, mmetokea nchi moja, basi mnajiingiza kwenye mapenzi bila kujiuliza mioyo yenu inasemaje, mwisho wa siku mmoja akiwahi kurudi anaendelea na mahusiano yake ya zamani huku bongo.....hii ipo sana mkuu, hata kwenye misaada, mtu anapata kusaidiwa na kuona njia pekee ya kutoa shukrani ni kuwa na huyo mtu bila kuangalia kama anampenda kidhati
 
Hayo ndo mapenzi ya kweli kwa kuwa yana sababu ya msingi ambayo ndo hiyo inamfanya mpendwaji aseme "ningefanyaje"
Wengi wa hivyo ni kama wale walopeana mimba wakalazimika kuoana - ikitokea mmoja akamiss behave mwenzake humkumbusha walikotoka.
 
Hayo ndo mapenzi ya kweli kwa kuwa yana sababu ya msingi ambayo ndo hiyo inamfanya mpendwaji aseme "ningefanyaje"
Wengi wa hivyo ni kama wale walopeana mimba wakalazimika kuoana - ikitokea mmoja akamiss behave mwenzake humkumbusha walikotoka.
Mkuu hii logic ya wapi
 
hua wanasema mapenzi huoata popote,namaanisha hamna mahali maalum pa penzi kuchipuka,kufahamiana kabla ni moja ya sababu shawishi inayopelekea wawili hawa kua karibu na kujenga penzi lao,kujuana kabla kunakua kama CATALIST ya penzi.

Swala la penzi la kua wanapendana kiukweli au la ni mambo ya mioyo yao.hatuweZI hukumu mwenendo wa penzi kwa kutizama kujuana kwa wahusika.
Si vema kuusemea mioyo ya wapendanao.


My take:mapenzi popote.
 
Back
Top Bottom