Ukitaka kuumiza moyo wako jifanye unajua kupenda, siku hizi ukiwa maarufu au mambo safi kidogo tu kila mtu atajifanya anakutaka kimapenzi, hata kama huvutii. Wengine huenda mbali hata wakafunga ndoa, matokeo yake wanaishi kichinachina ndani ya nyumba. Ndio maana mimi nimeamua SODA YA KOPO nakunywa nikimaliza natupa. Haina stress wala kusukumwa.
Mapenzi yako safi sana siku hizi maana hata ukitaka kuoa hauchukui muda mrefu kama zamani, miaka mitatu, mitano, ila siku hizi tatizo ni roho za watu zimekuwa mbaya zimejaa uasi.
Kazi kweli me hapa wa kwangu ananiambia kwani mwanaume kitu gani! Na huku yy ni home wf nahangaika usiku mchana kutafuta lakin dharau nnayoipata ni mateke ya punda. Si unaweza kumsukumia ukutani kweli?
Kazi kweli me hapa wa kwangu ananiambia kwani mwanaume kitu gani! Na huku yy ni home wf nahangaika usiku mchana kutafuta lakin dharau nnayoipata ni mateke ya punda. Si unaweza kumsukumia ukutani kweli?
hapana usimpige hata kidogo, kumpiga mpenzi wako ni mambo ya kizamani sana, vumilia, akikushinda move on, umwache akiwa hana kovu lolote kama ulivyomkuta mwanzo.