Bra-joe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,628
- 1,124
Ukitaka kuumiza moyo wako jifanye unajua kupenda, siku hizi ukiwa maarufu au mambo safi kidogo tu kila mtu atajifanya anakutaka kimapenzi, hata kama huvutii. Wengine huenda mbali hata wakafunga ndoa, matokeo yake wanaishi kichinachina ndani ya nyumba. Ndio maana mimi nimeamua SODA YA KOPO nakunywa nikimaliza natupa. Haina stress wala kusukumwa.