Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,646
- 5,606
Ivyo vitu vinaongeza nini mwilini,nasi tunataka kujuaSi kweli kwanza unakuwa kijana maana unapiga tizi aridhike mimi na kitambi saivi na kifanyia mpango kukikata ,sili chipsi tena wala soda ni mwende wa maziwa mgando,alikasusi,pweza,karanga mbichi
Sent using Jamii Forums mobile app