Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Grade C naihitaji kwakweliMi natamani nipate namba B
Hakuna break nimwendo wa kuzunguka tudunia inaenda kasi sana....dah nachelea kusema kuwa "DUNIA SIMAMA NISHUKE"
Saiv tuko DUC[emoji28][emoji28]Kuna mama la kichaga nimelioata kwa sasa liko mile moja kibaha nilikutana nalo tu kwenye app ya wachumba ... Age ni 45 bonge la muelewa sana , yaani namkubali nikimshitua tu anatokea bagamoyo kesho amepanga aje akae gheton kwangu week nikitoka kazini naunga mpk maili moja kumfuta sio kwa uno lile nikikubuka da .... Na linavyojua kulalamika hapa ndio naamini bakuna mwanamke mgumu .. kumbe huwa ni muda tu [emoji123]yaaani pamenipa ujasiri sana hivi vinamba DUB , mm si viwezi kabisa mimi deal na namba A tu au B heshima kama yote
Watu wazima jinsia gani? Weka wazi uleleweInfact hata Mimi nawapenda watu wazima nishalowea huko
Husika na mada tajwa hapo juu[emoji3516]Watu wazima jinsia gani? Weka wazi ulelewe
Ila tu asiwe Mke wa mtu kichwa chako kikaenda na majiNi kweli mkuu inategemana kama wangu aise hata beach unaenda naye body kinanda sana kwanz si kuamini kama na 40yrs halafu ni mkali wa fashion ki ufupi na mama wa mjini mama wa kisasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hutojutiaa kaka kama huna kiwanja utanunua na kujenga kabisaMi natamani nipate namba B