Mapenzi ya Zanzibar yapoje?

Wakuu , mchumba wangu wa zamani alioa zenji.

Hakuachana hadi Leo.
Rafiki zangu wameoa Zanzibar wote hadi naleo hawajaachana .

Tujuzeni mapenzi ya Zanzibar yakoje?

Yapojee?

Maana sio wakutuchukuliwa waume kihivyo.
Hadi mtandao wa yaas uanze kuwa na changamoto za "mawimbi "ndio waachane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…