Mapenzi yamefanya nifukuzwe shule; chanzo ni mwalimu wangu kunitaka kwa nguvu

Mapenzi yamefanya nifukuzwe shule; chanzo ni mwalimu wangu kunitaka kwa nguvu

we jamaa ....nakuhisi ni afisa usalama....mara una mke .. .mara naenda shule.. ...mara una alteza ....hata tukïulizwa bakigraundi yako hatuelewi......inshort husomeki
Dah afisa usalama
 
Kwqhiyo mkuu ukiona mtoa post ni beira boy huwez soma habar yote

Hivi hua unaandika ili iweje kwa mfano? Unatunga tunga story za uongo uongo tu.. acha upuuzi bana we una zivu kbs unafanya ishu ka hizo, Tz ya viwanda itafikaje sasa?
 
Ulienda shule au ulinyang'anywa simu na wazazi mkuu?
 
Hivi hua unaandika ili iweje kwa mfano? Unatunga tunga story za uongo uongo tu.. acha upuuzi bana we una zivu kbs unafanya ishu ka hizo, Tz ya viwanda itafikaje sasa?
Mkuu iv bado unasubir tz ya viwanda?
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Naandika hapa nikiwa na maumivu makubwa sana na sijui hata hatima ya maisha yangu, ndugu zangu sasa wamekataa tamaa na mimi na hawatak hata kuniona wala kunisikia nipo tu kwa huruma ya aliye juu

Niliaga hapa jukwaan kuwa naenda shule na ni kweli mda wote huo nilikuwa shule mazee, lakin baada ya kufika shule kuna mwalimu wangu wa kike alitokea kunizoea sana kupita kias. Mimi sikujali wala nini nikajua tu nikawaida yaan ule upendo wa mwalimu na mwanafunz wake

Kadri siku zilivyozid kwenda yule madam uzalendo ulimshinda na akaweza kunitamkia live kuwa ananipenda sana hivyo agependa awe na mimi. Nilikataa lakin alilazimisha sana aliniita ofisn akiwa yeye mwenyewe pekee yake alikuwa amevaa nguo lain flan iv alinikumbatia na kunisogeza kifuan kwake huku akihema kwa nguvu sana aliniimishia kwenye matiti yake akitaka nimnyonye matiti, sikuwa na hiyana nikaanza kunyonya zile chuchu zilizokuwa zimesimama kama embe dodo

Ghafla madam alisaula nguo zote na kubaki mtupu kama alivyozaliwa nilipiga mikas haraka haraka nikasepa bwenin maana ilikuwa ni usiku nikaenda kulala

Sasa juz alinambia nibak bwenin nisiende darasan, nilibak kweli mda wa saa tatu asubuh akaja akihitaj nimpige mikas ile tuko kwenye hali ya kuandana mala vuuu mwalimu mkuu akaingia na kuanza kutuuliza mnafanya nini nyie wote kimiya mwalimi mkuu akasema haya njoon ofisin kwangu

Mimi nimefika ofisin nikandikiwa barua ya kufukuzwa kama mbwa

Sijajua kama madam naye kafukuzwa au laa

Dada zangu baada ya kuwambia ukweli wote wamefula kwa hasira hatari sana

Naomben ushaul wenu nifanyeje sasa wazee

LONDON BOY
Sasa kama ushafukuzwa unataka ushaur gan?inamana wewe ni nunda huskiagi kwahyo basi pambana na kijiji sina msaaada na wewe
 
DAH JAMII FORUMS ILIKUWA YA WATU WAZIMA WANAOJITAMBUA HASA WENYE UWEZO MKUBWA WA KUFIKIRI........
ILA KUKUSAIDIA KASOME KITABU CHA NGOSWE,PENZI KITOVU CHA UZEMBE........
 
Back
Top Bottom