kacnia
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 4,024
- 15,796
Moja kwa moja kwenye mada.
Nimekuwa muhanga wa kukuta mambo ndivyo sivyo katika mahusiano, yaani mwanamke nnaye mtaka kuna wakati simpati, nikimpata basi ndani ya muda mfupi namtaka mwingine tena, nikipata wote mahusiano yakakufa wakija kujuana
Mwanamke akinipenda sana anageuka tena kero yaani tafrani.
Sasa rasmi nimeamua kuhamishia mapenzi yangu miguuni, yani vile viatu nilivyopanga kumiliki, mwaka huu lazima vyote vikae mguuni by any means necessary.
Baadhi hivi hapa 👇👇
Ntaongeza vingine ili JF inisaidie kutunza in case nimepoteza simu.
So far niko humu👇
Chini ya dola Moja. Case closed
Nimekuwa muhanga wa kukuta mambo ndivyo sivyo katika mahusiano, yaani mwanamke nnaye mtaka kuna wakati simpati, nikimpata basi ndani ya muda mfupi namtaka mwingine tena, nikipata wote mahusiano yakakufa wakija kujuana
Mwanamke akinipenda sana anageuka tena kero yaani tafrani.
Sasa rasmi nimeamua kuhamishia mapenzi yangu miguuni, yani vile viatu nilivyopanga kumiliki, mwaka huu lazima vyote vikae mguuni by any means necessary.
Baadhi hivi hapa 👇👇
Ntaongeza vingine ili JF inisaidie kutunza in case nimepoteza simu.
So far niko humu👇
Chini ya dola Moja. Case closed