Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sauti haitoshi ongeza mkuuWEWEEEEEE HAKUNA BIANADAMU ALIEWAHI KUSHINDANA NA MAPENZI NA AKASHINDA
View attachment 2968278
Noma baba, kama michael jacksoniHivyo viatu hua navitamani ila kila nikijaribu kununua nashindwa.
Nina shida sana, sipendi kua mng'ao. Yani vitu vyote vinavyo ng'aa kwangu ni hapana.
Basi nimebaki humu.
View attachment 2968265
Dah! Duh!Hivyo viatu hua navitamani ila kila nikijaribu kununua nashindwa.
Nina shida sana, sipendi kua mng'ao. Yani vitu vyote vinavyo ng'aa kwangu ni hapana.
Basi nimebaki humu.
View attachment 2968265
🤣🤣🤣Utasomola viatu? Au unahamia na chaputa?
Weka picha mkuu uniokoeWanangu mnazingua kinoma yaan mikwara yote humu kumbe mnavaaa viatu vya vibarua wa viwandani
10k-20k unapata open shoes nzuri tu za kuvaaa zimejaaa kote karume, shamba la bibi na kwengineko
20k-35k unapata raba nzuri kbs unakula code safi unapendeza hamna atakaejua kama mvua ikinyesha maji yanaingia room kwako
15k-45k unapata sandals nzuri kbs
30k-100k++ hapa unavaaa brand
45k - 60k unapata kiatu Cha maaana sole kali
Kichwa kipiAngalau nikiwa disappointed nikiinamisha kichwa chini naona vitu vizuri
Kilichobebwa na shingo?Kichwa kikuu