Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Leo yamenifika bhna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu kauumizwa kwa upande wakeHizi mada zimeshamiri leo kinoma
Kulia kupokezanaLeo yamenifika bhna
Pole sana ulikua kwenye mahusiano na Malaya jifunze siku nyingine ukishamalizana nae usigeuke nyuma au una mdai nini hukumpiga mitishamba?Nachukia mapenzi kunaye mmoja ananiendesha sana
Kulia kupokezana
Njoo PMKulia kupokezana
Roho ya chuma hii nimeshapigana vita nyingi sana na niko imaraZamu yk itafika
Njoo PM tuunganishe hizi dotRoho ya chuma hii nimeshapigana vita nyingi sana na niko imara
We nae usinichoshe km unaiomba iombee hapahapaNjoo PM tuunganishe hizi dot
mahusiano Sikuizi inatakiwa usiweke miguu yote kwa ndoo mojaKila
Mtu kauumizwa kwa upande wake
Hongera mm ndio sipend tenaRoho ya chuma hii nimeshapigana vita nyingi sana na niko imara
AhahaWe nae usinichoshe km unaiomba iombee hapahapa
Mm nikipenda bas naweka yote mpaka ndoo inapasuka kwa uzitomahusiano Sikuizi inatakiwa usiweke miguu yote kwa ndoo moja
Anafanya kazi gnUliza ex wangu now anafanya kazi gani?
Basi mimi naiomba hapa hapa kama yeye anaogopa ogopa.We nae usinichoshe km unaiomba iombee hapahapa
Inauma sanaaaaaUsichoke sisi wanaume mabahili tunawategemea nyie ma lover boy mtusaidie kazi ya kuhonga kazi zingine tutafanya sisi