glory to yhwh
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 1,026
- 1,401
Kama binadam ameomba msamaha lkn nilichofurahi bado yupo na Anna maisha yanaendleaNdio umemwandikia upupwu wote wa nini, natumaini hatakusoma umetaka tu kumuumiza zaidi mwenzako. Una roho ngumu ya chuma wewe.
Na mkienda kwake awapige vibao tu na mateke kabisa.
Wewe sio mwanaume wala hufai kuwa rafiki, sasa subiri uje uyaonje wewe.
Kaa mbali naye hamna haja ya kwenda kwake wala kumtafuta ungethamini urafiki wako na yeye husingefanya yote... namba moja kuchukua simu ya wake na kunyamaza. Unaroho mbaya na tamaa ya wivu umekujaaaa.
Na akikusoma ndio akufute kabisa maishani mwake, unatia aibu.
Kama binadam ameomba msamaha lkn nilichofurahi bado yupo na Anna maisha yanaendlea
Asante mkuu kwa kunitia moyoMimi binafsi sioni kosa la mleta mada, Mungu aliamua kukupa mke kwa staili hiyo, shukuru Mungu endelea na maisha, sababu hakuwa mchumba wake rasmi aliyejulikana home. Mwana usiogope kutishiwa akizingua na wewe mzingue na ukizidiwa nicheki PM nikupe msaada.
Achana na comments za kukudis wewe endelea na maisha yako usiogope kutishwa narudia usiogope mi mwanaume mwenzangu hawezi kunitisha hata Mara moja, akianza tu namaliza kitamboAsante mkuu kwa kunitia moyo
Sasa mkuu angefanyaje kwa kulazimishwa huko na shem wake!Ndio umemwandikia upupwu wote wa nini, natumaini hatakusoma umetaka tu kumuumiza zaidi mwenzako. Una roho ngumu ya chuma wewe.
Na mkienda kwake awapige vibao tu na mateke kabisa.
Wewe sio mwanaume wala hufai kuwa rafiki, sasa subiri uje uyaonje wewe.
Kaa mbali naye hamna haja ya kwenda kwake wala kumtafuta ungethamini urafiki wako na yeye husingefanya yote... namba moja kuchukua simu ya wake na kunyamaza. Unaroho mbaya na tamaa ya wivu umekujaaaa.
Na akikusoma ndio akufute kabisa maishani mwake, unatia aibu.