Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
Mapenzi yanakawaida ya ku expire, unaweza kumpenda mtu lakini kama tabia haivutii, moyoni anaanza kuyeyuka anakuwa hakushtui tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kadiri mnavyozoeana mambo yanazidi kupungua na kuharibikaMapenzi yangekuwa yanabaki vile vile kama penzi likiwa jipya nadhani tusingekufa kwa hizo raha zake.
Wanajua muda wowote mambo yanaweza kuharibika ☺️Wenzetu wanalitambua hili ndio maana wanapendelea ndoa za mikataba zaidi.
Mapenzi na mtu asiye na bikra ni laana, uzinifu, uasherati, na kukosa akili! Unaingia mahusiano na mtu kaishatumika na unaingia gharama ni uendawazimu!Mapenzi yanakawaida ya ku expire, unaweza kumpenda mtu lakini kama tabia haivutii , moyoni anaanza kuyeyuka anakuwa hakushtui tena .
Ni kweli kabisaMapenzi na mtu asiye na bikra ni laana, uzinifu, uasherati, na kukosa akili! Unaingia mahusiano na mtu kaishatumika na unaingia gharama ni uendawazimu!
Kila siku nawaambia madogo hapa wakae kitaalamu kwa sababu hawa wenzetu wapo kimasilahi zaidi, sema ndo masimp huwa hawanielewiMi napita tu lakini wadogo zangu nawakumbusha tu hamna kitu kinachoitwa "Mapenzi ya kweli"
chama cha kujitunzaje? hebu elezea hicho chamaMapenzi yanawatesa sana vijana.
Karibuni kwenye chama cha kujitunza.
Na hapo ukute ana katoto tayali na baba wa katoto yupo haiMapenzi na mtu asiye na bikra ni laana, uzinifu, uasherati, na kukosa akili! Unaingia mahusiano na mtu kaishatumika na unaingia gharama ni uendawazimu!
Kujitunza/kukaa mbali/kuachana kabisa na mambo yote yanayohusiana na mapenzi(maneno mpaka vitendo).chama cha kujitunzaje? hebu elezea hicho chama
Hiyo uwezi, labda kama imejiunga CHAPUTA, lakini ukiwa na akili timamu kabisa kabisa na afya tele ngumuKujitunza/kukaa mbali/kuachana kabisa na mambo yote yanayohusiana na mapenzi(maneno mpaka vitendo).
Ugumu wake nini mkuu?Hiyo uwezi, labda kama imejiunga CHAPUTA, lakini ukiwa na akili timamu kabisa kabisa na afya tele ngumu
huwez vumilia unaona watoto wa kike wamenona hivi, ujikaushe au vijana wa kiume wenye kuvutia ujikaushe labda kama mgonjwaUgumu wake nini mkuu?
Huu uzi nimeuweka sehemMapenzi yanakawaida ya ku expire, unaweza kumpenda mtu lakini kama tabia haivutii, moyoni anaanza kuyeyuka anakuwa hakushtui tena.