Mapenzi yanakawaida ya ku expire

Penzi hua halifi hata siku Moja na Wala haliishi ,penzi kila siku liko vilevile,kinachokufa ni mawasiliano Haina ya wapenzi baada ya kila mmoja kukosa anachokitaka.
 
Ukiona unateseka sana kwa ajili ya mtu huyo ndiye Mungu wako. Mpende Mungu wako kwanza binadamu hugeuka sana.
 
Umeongea point ila jumbe inafurahisha
Siku hizi sinyoosheki kizembe, zamani ndo yalinitesa
Hahahaha ushakomaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…