Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #321
SI ziko episode 4 mkuu??, Umesha Soma zote!!Mkuu imeisha!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SI ziko episode 4 mkuu??, Umesha Soma zote!!Mkuu imeisha!?
Kwamba ana pata wapi nguvu ya kupata mawazo hasi juu ya wengine 😁Wewe onana na psychologist haraka sana kabla haujasababisha maafa,
Mambo yake pamba moto😁🤓Nomah sana.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Something might not be ok in your brain. Can you see the psychologist please?Hivi ni kwamba mmekosa kazi za kufanya au? Mnawezaje kuandika maelezo marefu hivi kwa ajili ya kupata likes na comments tu? Na mnawezaje daily kushinda humu mmu tu? Duh hii inashangaza sana🤔
Kila mtu ana mshangaa aisee, dah ila ujuaji mbaya.Something might not be ok in your brain. Can you see the psychologist please?
Hahahahaha..huwa sipotezi muda kujibu watu kama hao ...
Hahahahaba chizi tu ana stress zinamsumbuaKila mtu ana mshangaa aisee, dah ila ujuaji mbaya.
Hahahahaha..atakua kafanya la muhimu kwa afya yakeSomething might not be ok in your brain. Can you see the psychologist please?
Mkuu unge isoma yote unge Elewa, kuwa bi nandipha ali achana na mumewe.Shukrani kwa kutusogezea mkasa huu wa kusisimua
Vp kuhusu ndoa ya huyo Doctor alishiriki kwenye huu mpango akiwa ndani ya ndoa yake?
Hahaha, maana ni Kama kuvamia kambi ya jeshi. Uwa ulize Wana fanya nini. HahahaHahahahaha..atakua kafanya la muhimu kwa afya yake
Hahahahaha kuna watu stress wanaziendekezaHahaha, maana ni Kama kuvamia kambi ya jeshi. Uwa ulize Wana fanya nini. Hahaha
hahaha, Natumai mambo Yana enda vyema mkuu.Hahahahaha kuna watu stress wanaziendekeza
Inshalaah nashukuru Munguhahaha, Natumai mambo Yana enda vyema mkuu.
Jambo jema kabisa, uzima ndo mtaji wenyewe.Inshalaah nashukuru Mungu
Neno Inshalaaah ? Huwa linatumika wapi ?Jambo jema kabisa, uzima ndo mtaji wenyewe.
Hahaha, ila hilo neno mbona Kama ume litumia sipo mkuu.
Kimatumizi inshallah Ina maana ya kwa mapenzi ya Mungu. (Kwa wakati ujao au unao fata).Neno Inshalaaah ? Huwa linatumika wapi ?
Hahahahaha..ahsante kwa ufafanuzi..mie natumia tu nilikua sijui hayaKimatumizi inshallah Ina maana ya kwa mapenzi ya Mungu. (Kwa wakati ujao au unao fata).
Alhamdullilah Lina maana ya kushukuru kwa Hali au Jambo lolote alilo pata au pitia mtu.
Hahaha, Kawaida mkuu, hata Mimi Kuna mambo naingia Chaka Sana.Hahahahaha..ahsante kwa ufafanuzi..mie natumia tu nilikua sijui haya
Kumbe wewe ni kibonge?[emoji23] Nipo