Mapenzi yanauma sana ndugu zangu, kamwe usimcheke mtu kama bado hayajakukuta

Daaahh, bora ujitenge mapema usikutwe na bwana pepsi huyu, hakulipii afu anakuacha peke yako

Ila mkuu nitaumia kiasi maana huyi mamsi tumetoka mbali since naanza maisha ya kigeto geto , nalala chini, Sina mishe ya kueleweka , Tunagombana tunapatana , ila now mambo yamekuwa serious, nina 3 day ban, simu nlomnunulia na kaipasua mbele yangu na line kavunja dah so nimemute tuuu
 
Kati ya vitu nilitaka kuckia au vmefanya nisome hadi mwsho alikufanyaje?
 
Pole Sana...mapenzi yalishatiwa dosari toka enzi za bustani ya Edeni...sisi tunarudia tu.
 
uzoefu kazini nacho ni kitu cha msingi, ushakuwa mzoefu sasa kazi utaifanya vzuri. haya nikutakie kazi njema uendako huko
 
Hakuna mtu ambaye kashindwa kula 5 days akawa hai ni uongo mzee
 
Experience is the best teacher hahaaaaa
 
Usikubali kuzama mzima mzima mkuu utakufa, wengi huwatokea katika first love lakin umejifunza sana ukiona hali kama hyo inaendelea kwa watakao kuja baada ya huyo utapata tabu sana maana utakua unajitakia mwenyewe...........kuumizwa kwenye mapenz huwa ni mara 1 tu, zaid ya mara 1 huko n kujitakia.
 
 
Mkuu tatizo ulikuw lena kwenye mapenz ndo ulikuw unaanza afu age 27yrs, hujawai pata kashikash za mapenz thats all. Ushaur wangu me tafuta wengine kama wa5 then date nao afu angalia anaejielewa, shida mnataka madem wa chuo hapa ndo shida
 
Bora kuachana nayo!
 
Nimekuelewa sana Kaka Mkubwa ,Maana kwa wanao amini katika Mungu tunaami hapo Mungu anakuwa amekuepusha na majanga makubwa mbeleni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…