Leonardchama7
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,963
- 4,027
Mkuu sina haja ya kubisha ila katika maisha ya ndoa nimejifunza mengi sana na mwisho nikaamua kupuuza baadhi ya mambo ili ndoa iwe na afyaYou did this from the second time you loved a woman. First time lazma uliumia tu hata ukijitutumua. There was a point ulilia mzee. Ruksa kubisha. Maana mtu mpaka ayajue hayo lazma kuna changamoto alipitia