Mapenzi yanauma sana ndugu zangu, kamwe usimcheke mtu kama bado hayajakukuta

Ndio inavyokuwa mkuu, katika maisha tunajifunza kutokana na makosa. Mwanzoni kuteleza ni kawaida ila kuanzia paper 2 unakamua kwa uwezo
 
Kama mtu unampenda na unapanga future nae, akizingua shukuru Mungu wala usiumie. Shukuru kwasababu kazingua mapema, angezingua tayari mko ndoani hio ni changamoto maanake kosea hata kujenga ila sio kuoa. Mimi mwanamke nikimpenda akizingua namuacha immediately kwasababu huko mbele nitapata shida, lakini kama simpendi akizingua naenda nae hivyo hivyo namuweka sehemu yake tu.
 
Mkuu ushawahi kunyofolewa ukucha wa kidole kikubwa cha mguuni? Unayafahamu maumivu yake? Utagundua hayo maumivu unayo yasema ya mapenzi si kitu.
 

Nijaliwe moyo wako, afu mkuu umesema kweli, sema mwanadamu huwa hatuoni mbele kabisaa tunataka tuliyonayo hapa
 
Mkuu ushawahi kunyofolewa ukucha wa kidole kikubwa cha mguuni? Unayafahamu maumivu yake? Utagundua hayo maumivu unayo yasema ya mapenzi si kitu.

Maumivu ya nerves ni tofauti kabisa na maumivu ya moyo

Ukininyofoa kucha nakula sana, tena nitataka vitamu zaidi
 
Utakiwi kuwa weak epukana na hiyo hali maana itakucost katika maisha yako yote don't be to emotional

We tell people we love them when we need or want something because real love happens in movies only not in real life
Acha nikiri mimi ni weak, siwezi kupenda kwa kuingia mguu mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…