Hakyamama kuna siku utakuja kunasa sehemu usiamini na goti utapiga kuomba msamaha πππMajanga ya mapenzi ni experience ambayo haikosi cha kukufunza.
Binafsi nimeshaingia kwenye state of mind ya kwamba "if it is to break, it will break no matter what".
Kwa hiyo, huwa sibembelezi nikitishwa kuachwa, hata kama inaonekana kosa ni langu. Issue za kuomba msamaha pia naona zimekuwa ngumu.
Niput basi hapoEhee bhana kwa huyu niliyekuwa namtuliza jana,,,sio vichaa tu..wendawazimu bado wanaishi anko Mangi
Sijui kuumiza mimi...we niweke tu tutajuana mbele kwa mbeleWewe ndo utamuua kabisa [emoji1][emoji1]
Kuna jinsi nitamjenga kisaikolojia hatopenda tena milele...Anko Mangi utamuua