Mapenzi yanaumiza sana

Hakyamama kuna siku utakuja kunasa sehemu usiamini na goti utapiga kuomba msamaha πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Usisahau kupasha maana vingine vyaweza kuwa na bacteria πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
Wee usiniambie
 
Hahaha....mimi ni daktari wa kienyeji naweza kukutibu hiyo sehemu ukapona kabisa mkuu

Ebu kuwa na huo utayari
Kaa kwa password wa kienyeji.

Si tulikubaliana unanipea msukuma mwenzio..au imeishia wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…