Wewe huyu huyu au mwingine
My dear acha tu bado nipo kwenye painπPole sana Fina.kwani na wewe yanakuumizaga??
Hivi Kuna anaenizidi kweli.. we jichanganye umlete kesi itakuja kwako..π€£Wewe dawa yako nikutafutie shemeji anaevuta petrol akili ikukae sawa
Kilichotokea nilimuacha lakini katika hatua za kuchanganya akili na kuwaza niliko sasa hakufai maana nilimuacha bila sababu ya msingi.... Sasa hivi ndio nahisi, She was the best among millionsUlimuumiza au alikuumiza
Sasa huyo anaumia na mapenzi kitu kidogo hvyo..siku bia yake ikimwagika maumivu yake si anaweza jidhuruNauona ule mlipuko wa fukushima anko Mangi.utaniulia rafiki
Tunapishana tuKwani mimi ni traffic light Chief.
Uko poa lkni??umekuwa adimu
Kama hajaolewa unaweza kumrudiaKilichotokea nilimuacha lakini katika hatua za kuchanganya akili na kuwaza niliko sasa hakufai maana nilimuacha bila sababu ya msingi.... Sasa hivi ndio nahisi, She was the best among millions
Ok missOhooo oky
Sawa dada nasubiri hiyo dawa niichanganye na mizimu ya kwetu..π€£We dawa yako inachemka
Mkiambiwa mje peponi hamtaki, aya kaa motoni huko usilie lie π π πAcha kelele basta
Thank you darlingπOhooo maskini pole fina..jipe time utakaa sawa mama