Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulinikataa sasa nimeisha oa zangu afu ndiyo hivyo umezeeka tayari... [emoji23][emoji23][emoji23]Nimejaribu kutafakari kwa upana na maunga yake nikagundua yanaumiza mno.
Ohooo nilisahau kuwasalimu.Habari zenu.
Mapenzi bhana.Nimejaribu kutafakari kwa upana na maunga yake nikagundua yanaumiza mno.
Ohooo nilisahau kuwasalimu.Habari zenu.
Poleeeeeh kipendhiiiihguys niko kwenye wakati mgumu mno wa kumtuliza mtu mapenzi yanaumiza mno aiseh..mpka namuonea huruma.nikiwa free nitarudi kureply comments zenu.[emoji1635]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti vichaa khaaaaah lolYanakuumiza wewe...sisi twateleza tu,
Hivi bado kuna watu(vichaa) wanapendana?
Naishi dunia hii, ila mapenzi naona ni kitu cha kawaida sana tena mno, na hayajawahi kuniathiri kwa chochote. Hebu achana na mapenzi fanya mambo mengine.Kwani wewe unaishi dunia gani kipenzi.
Miss you more
Kwani mimi bwege mpaka niumizwe na mapenzi.. [emoji23][emoji13]Kwani wewe hayakuumizi??
Ulipotea sana khantwe..Mzima lakini.Wewe...hujawahi kufua nguo ukajaza kamba halafu ile unamaliza kuanika tu kamba inakatika